Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

kubebwa sio ishu....swali ni je,walipofikishwa uwanjani walifungwa kamba wasiondoke au la?........
hilo ndo swali la msingi
Waondoke waende wapi hapo mjini? Unataka wapotee au waachwe na malori yaliyowaleta?
 

Hivi jaman inakuwaje mtu mzima unasema uongo?
 
ile ya jana unguja viwanja vya mnazinmoja na leo mza furahisha imedhiirisha kwmba ukiwa hawana chao bara na kisiwani.ccm oyeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…