Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

kubebwa sio ishu....swali ni je,walipofikishwa uwanjani walifungwa kamba wasiondoke au la?........
hilo ndo swali la msingi
Waondoke waende wapi hapo mjini? Unataka wapotee au waachwe na malori yaliyowaleta?
 
Mimi nlikuwepo toka asubuhi ila cjaona hata mtu mmoja wa MWANZA kwenye kampeni za MAKOMEO.
Yaani hata mgeni akifika tu MZA angegundua kuwa wale watu hawafanani kabisa na jiji la MWANZA

Ukweli ni kwamba wale watu waliletwa asubuh na malori kutoka MISUNGWI, NGUDU, SUMVE, NYANGUGE, MAGU, KAYENZE, NYEHUNGE, SENGEREMA n.k

Hivi jaman inakuwaje mtu mzima unasema uongo?
 
ile ya jana unguja viwanja vya mnazinmoja na leo mza furahisha imedhiirisha kwmba ukiwa hawana chao bara na kisiwani.ccm oyeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom