Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

nashukuru kumuona CHEGE CHIGUNDA msanii nimpendaye...hapa kazi ipo...ila kura yangu luwasaaa..

Hata km tunapenda mabadiliko,uzalendo kwanza!Mwanza na kanda ya ziwa kıujumla ndo nyumbani kwa Magufuri,mioyo itauma kumtoşa na ndıo maana ukienda Arusha ukaitaja CCM utachomwa kisu.Sio kwa sababu Arusha wanampenda sana Lowasa bali kwa sababu ni kwao tu!
 
Mwanza ni ya CCM, wale mahuihui walipata ubunge kutokana na chuki za ndani ya CCM. Kwa sasa CCM ni moja, tupa kule malofa.
 
Hahahaaaaa. Leo nmeshangaa Mwanza malori kibao. Nmekuwa nkidhani kusombwa kunakotokea n maneno Leo nmethibitisha. Hadi yutong za kutosha kutoka mikoani. Pale nyamagana uwanjani kulikuwa na Bodaboda kibao wakidai pesa zao coz walikodishwa. Jamani msisimko wa mikutano ya ukawa n natural kabisa. Huwez ifananisha na ya ccm.
 
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
Hapendwi mtu hapo kinachopendwa ni fiesta kwa taarifa yako!
 
Hao wanaompenda Magufuli watakuja kujuta pale watakaporejeshewa Katiba ile ile iliyopendekezwa waipigie kura!

Angalia watetezi wa katiba hiyo ya wananchi wapo wapi?msingi wa katiba inayopendekezwa ni maadili ya uongozi, Lowassa anawakilisha uchafu wa kiuongozi.Ndio maana tunasema NDIYO KWA MAGUFULI
 
Kwenye kumpokea maghufuli kutoka airport nagari Pikipiki na baiskel zilizokodiwa zilikuwa nyingi kuliko watu. Angalia Lowassa anavyopokewa halafu linganisha na maghufuli. Jamani Lowassa anapokewa na watu magufuli anapokewa na kundi lililoandaliwa
 
Mimi nlikuwepo toka asubuhi ila cjaona hata mtu mmoja wa MWANZA kwenye kampeni za MAKOMEO.
Yaani hata mgeni akifika tu MZA angegundua kuwa wale watu hawafanani kabisa na jiji la MWANZA

Ukweli ni kwamba wale watu waliletwa asubuh na malori kutoka MISUNGWI, NGUDU, SUMVE, NYANGUGE, MAGU, KAYENZE, NYEHUNGE, SENGEREMA n.k
 
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.

Mimi nilikuwepo na kofia na tisheti ila nimeenda kumcheki diamond na tulikuwa kama 23 hiv jidanganyeni.
 
Kwenye kumpokea maghufuli kutoka airport nagari Pikipiki na baiskel zilizokodiwa zilikuwa nyingi kuliko watu. Angalia Lowassa anavyopokewa halafu linganisha na maghufuli. Jamani Lowassa anapokewa na watu magufuli anapokewa na kundi lililoandaliwa

Kwani Tatizo Lipo Wapi?Kila Chama Na Mipango Yake,nyie Mipango Yenu Mizuri Ndomana Vyombo Vinaharibika Au Kuleta Hitilafu Akikaribia Lowassa Kuhutubia..Sisi Mipango Yetu Kuhakikisha Watu Wetu Wanapata Sera Zetu...
 
mie mwenyewe hapa natoka fiesta iliyofanyika furahisha na mgeni rasim alikuwa magufulo; kwakweli nimesherehekea kuona kundi kubwa la wasanii; lakin kwa habri ya kura LOWASA ndo rais bila kupingwa maana hata pamoja na kuwa shehena ya wanasanii bado hawakuweza kuufikia mkutano wa kampeni wa Lowassa uliofanyika jtatu hapa mwanza
 
Du mwanza mmetisha aiseee mmempokea rais wetu kishujaaa haswa tisha sana Mungu uinuliwe juu ya magufuli endelea kumpa kibali machoni na miyoni pa watu namwombea kila lililo jema afya njema na ushindi pia.
 
Toka leo asubuhi sina wasiwasi tena make nimegundua Magufuri keshashinda ..hawa wengine wamebaki kulambana pesa tu wamemgeuza Lowassa Automated Teller Mashine yao (ATM)
 
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.

Siasa ni mikakati kaka. Kama mwenzako akiwa na watu wengi. Wewe fanya njia yoyote,leta wasanii au beba watu kwa mabasi onyesha kuwa watu wamejaa hata kumzidi mwenzako. Haijalishi kama wanaokuja ni watoto wa shule ambao hata sio wapiga kura. Hii ni mikakati. Ni show ya wewe kuonekana vizuri,kwamba uko vyema
 
Sijaona wakizimia na nyomi ilikua funika bovu

Magufuli hana mashetani hivyo watu hawawezi kuzimia. Huyo shetani wenu mwenye kujin.....a mnasema vipaza sauti vibovu wakati mbowe amevitumia vipaza sauti hivyo hivyo. Na mashetani yake ndiyo yanasabisha watu kuzimiza.
 
Back
Top Bottom