Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.

Munadanganywa sana wa Tanzania. Ccm wanajua hali halisi ya kanda ya ziwa. Wanaokoteza wananchi kwa magari na kuwapa pesa ili wakahudhurie. Unategemea nini? Wanajitekenya na kucheka wenyewe.
 
mie mwenyewe hapa natoka fiesta iliyofanyika furahisha na mgeni rasim alikuwa magufulo; kwakweli nimesherehekea kuona kundi kubwa la wasanii; lakin kwa habri ya kura LOWASA ndo rais bila kupingwa maana hata pamoja na kuwa shehena ya wanasanii bado hawakuweza kuufikia mkutano wa kampeni wa Lowassa uliofanyika jtatu hapa mwanza

Nimemsikia Magufuri juu ya aina ya serikali yake na baraza la mawaziri kuwa dogo na la waadirifu ...hebu tujulishe katika hili Lowassa anasemaje?
 
Magufuli hana mashetani hivyo watu hawawezi kuzimia. Huyo shetani wenu mwenye kujin.....a mnasema vipaza sauti vibovu wakati mbowe amevitumia vipaza sauti hivyo hivyo. Na mashetani yake ndiyo yanasabisha watu kuzimiza.

Umesahau Moro?
 
Kwani Wale Waliodhuria WOOOOTE Ni CCM!!!?? Au Waliokuja Siku Ukawa Wanafanya Mikutano WOOTE Ni Ukawa!!!!?? Wale Wa LEO NDIO Wanaosambaziwa Sms Za Ukabila!! Kama HAUJAWAHI Kufika KWAKO Hiyo Sms, Weka No Nikutumie Now!! Aibu!! Yaani Usukuma Na Ukanda Ndio Kigezo Cha Wasukuma KUMCHAGUA Magufuli!!

Km cdm na uchaga Lowasa na Ulutheri au vp..... Chagua MAGUFUR ndo jibu sahihi
 
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.

Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe....
 

Attachments

  • 1445104377846.jpg
    1445104377846.jpg
    48.4 KB · Views: 184
  • 1445104393237.jpg
    1445104393237.jpg
    28 KB · Views: 257
  • 1445104406331.jpg
    1445104406331.jpg
    47.7 KB · Views: 222
  • 1445104423666.jpg
    1445104423666.jpg
    34.4 KB · Views: 181
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.

Umemsikia Magufuli alichokisema lakini? Anaijua Mwanza, mchana wanamshangilia usiku wamebadilika! Naye analalamika kuwa watu wanahongwa hela na kuwashauri wazile, hahahahaaaa,hajui kuwa chama chake ndo kinayafanya hayo. Watu mliowasombea uwanjani mmewatelekeza bila usafiri, kuweni na huruma. Hao wanafunzi mmewarudisha mashuleni?
 
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.

Mwanza si ya CCM mkuu

Ni ya wote
 
Zakaria leo kafanya biashara kweli kweli..... Magari yake yalisambaa Mara, Simiyu na Shinyanga.
 

Attachments

  • 1445104939919.jpg
    1445104939919.jpg
    43.7 KB · Views: 191
  • 1445104994566.jpg
    1445104994566.jpg
    34.3 KB · Views: 187
mimi mpenzi wa mabadiliko lakini kura yangu magufuli tu. ataleta mabadiliko akiwa ndani ya ccm

Wazee wa kusukuma gari huku mkiwa ndani ya gari! Hongera ila nahisi hiyo gari hata ashuke Yesu Kristo, haliwezi sogea!
 
Mimi nlikuwepo toka asubuhi ila cjaona hata mtu mmoja wa MWANZA kwenye kampeni za MAKOMEO.
Yaani hata mgeni akifika tu MZA angegundua kuwa wale watu hawafanani kabisa na jiji la MWANZA

Ukweli ni kwamba wale watu waliletwa asubuh na malori kutoka MISUNGWI, NGUDU, SUMVE, NYANGUGE, MAGU, KAYENZE, NYEHUNGE, SENGEREMA n.k

Kama hakuwepo hata mtu mmoja wa mwanza wewe umetokea wapi kayenze mkuu?
 
Hata km tunapenda mabadiliko,uzalendo kwanza!Mwanza na kanda ya ziwa kıujumla ndo nyumbani kwa Magufuri,mioyo itauma kumtoşa na ndıo maana ukienda Arusha ukaitaja CCM utachomwa kisu.Sio kwa sababu Arusha wanampenda sana Lowasa bali kwa sababu ni kwao tu!

Ni kweli mkuu nyumban kwanza... Ukiwa baadae hapa kazi tu
 
Watu wamebebwa toka GEITA, CHATO, BUKOBA, MAGU, MISUNGWI, SENGEREMA... So CCM wametengeneza mafuriko feki...!!!!
Pia, kumbuka hapo ulifanyika mkutano wa MWANZA nzima, na mikoa jirani watu wamebebwa sana sanaaa...!!
 
ukuyaona mabasi yaliyosomba wanafunzi na ngombe. pia fiesta ilikuwepo. kingine malori yalijaa takribani nusu uwanja. nyomi la lowassa huwa ni nouma uwanjani huwa ni roli moja tu na pa system basi.
Katengeneze Microphone zimegoma huko Tunduma.
 
Kumbe agizo la mkuu wa mkoa limefuatwa? Walimu na wanafunzi wahudhurie kwa magufuli ila Wanafunzi wasivae sare
 
Mwanza inakombolewa na Magufuli, watu wengi Wanapigia Kwa Magufuli
UKAWA wamewachanganya watu hapa hasa baada ya kumpokea EL waliyemtangaza fisadi na kuacha viongozi walioaminika ktk jamii
 
Nikwel mkuu hao ccm wamewaagiza wakuu wa shule za sekondar mwanza wawaruhusu wanafunz waende kwenye kampen lakin wasivae sare za shule kama hauamin kutana na hedmaster wa shule yoyote hapo mwanza atakuambia kila kitu
 
Watu wamebebwa toka GEITA, CHATO, BUKOBA, MAGU, MISUNGWI, SENGEREMA... So CCM wametengeneza mafuriko feki...!!!!
Pia, kumbuka hapo ulifanyika mkutano wa MWANZA nzima, na mikoa jirani watu wamebebwa sana sanaaa...!!

kubebwa sio ishu....swali ni je,walipofikishwa uwanjani walifungwa kamba wasiondoke au la?........
hilo ndo swali la msingi
 
Nikwel mkuu hao ccm wamewaagiza wakuu wa shule za sekondar mwanza wawaruhusu wanafunz waende kwenye kampen lakin wasivae sare za shule kama hauamin kutana na hedmaster wa shule yoyote hapo mwanza atakuambia kila kitu
Pamoja na hao wa kuwalazimisha, more than 50% ya walio hudhuria ni kutaka kumuona Shilole na mauno yake, kina Chege na wengine.
Haki ya nani hebu watangaze kuwa kuanzia kesho wasanii hawatakuwepo sababu ya Muda muone kama yule mama Anna wa ACT kama hatapata wasikilizaji wengi kuliko Magufuli.
 
Back
Top Bottom