Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
mie mwenyewe hapa natoka fiesta iliyofanyika furahisha na mgeni rasim alikuwa magufulo; kwakweli nimesherehekea kuona kundi kubwa la wasanii; lakin kwa habri ya kura LOWASA ndo rais bila kupingwa maana hata pamoja na kuwa shehena ya wanasanii bado hawakuweza kuufikia mkutano wa kampeni wa Lowassa uliofanyika jtatu hapa mwanza
Magufuli hana mashetani hivyo watu hawawezi kuzimia. Huyo shetani wenu mwenye kujin.....a mnasema vipaza sauti vibovu wakati mbowe amevitumia vipaza sauti hivyo hivyo. Na mashetani yake ndiyo yanasabisha watu kuzimiza.
Kwani Wale Waliodhuria WOOOOTE Ni CCM!!!?? Au Waliokuja Siku Ukawa Wanafanya Mikutano WOOTE Ni Ukawa!!!!?? Wale Wa LEO NDIO Wanaosambaziwa Sms Za Ukabila!! Kama HAUJAWAHI Kufika KWAKO Hiyo Sms, Weka No Nikutumie Now!! Aibu!! Yaani Usukuma Na Ukanda Ndio Kigezo Cha Wasukuma KUMCHAGUA Magufuli!!
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
mimi mpenzi wa mabadiliko lakini kura yangu magufuli tu. ataleta mabadiliko akiwa ndani ya ccm
Mimi nlikuwepo toka asubuhi ila cjaona hata mtu mmoja wa MWANZA kwenye kampeni za MAKOMEO.
Yaani hata mgeni akifika tu MZA angegundua kuwa wale watu hawafanani kabisa na jiji la MWANZA
Ukweli ni kwamba wale watu waliletwa asubuh na malori kutoka MISUNGWI, NGUDU, SUMVE, NYANGUGE, MAGU, KAYENZE, NYEHUNGE, SENGEREMA n.k
Hata km tunapenda mabadiliko,uzalendo kwanza!Mwanza na kanda ya ziwa kıujumla ndo nyumbani kwa Magufuri,mioyo itauma kumtoşa na ndıo maana ukienda Arusha ukaitaja CCM utachomwa kisu.Sio kwa sababu Arusha wanampenda sana Lowasa bali kwa sababu ni kwao tu!
Katengeneze Microphone zimegoma huko Tunduma.ukuyaona mabasi yaliyosomba wanafunzi na ngombe. pia fiesta ilikuwepo. kingine malori yalijaa takribani nusu uwanja. nyomi la lowassa huwa ni nouma uwanjani huwa ni roli moja tu na pa system basi.
Watu wamebebwa toka GEITA, CHATO, BUKOBA, MAGU, MISUNGWI, SENGEREMA... So CCM wametengeneza mafuriko feki...!!!!
Pia, kumbuka hapo ulifanyika mkutano wa MWANZA nzima, na mikoa jirani watu wamebebwa sana sanaaa...!!
Pamoja na hao wa kuwalazimisha, more than 50% ya walio hudhuria ni kutaka kumuona Shilole na mauno yake, kina Chege na wengine.Nikwel mkuu hao ccm wamewaagiza wakuu wa shule za sekondar mwanza wawaruhusu wanafunz waende kwenye kampen lakin wasivae sare za shule kama hauamin kutana na hedmaster wa shule yoyote hapo mwanza atakuambia kila kitu