Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

kuna ndugu zangu ni chadema wameishia huko uwanjani et kucheck show ....hii ndio tabu tuwe tunapiga bila show kwa hizi siku ili tupunguze kusemwa kwa hilo.....et wamenambia wako FIESTA....so mkutano wetu umekuwa FIESTA dah......ila watakaa kimya tu philo msemo wako tarehe 26
 
kuna ndugu zangu ni chadema wameishia huko uwanjani et kucheck show ....hii ndio tabu tuwe tunapiga bila show kwa hizi siku ili tupunguze kusemwa kwa hilo.....et wamenambia wako FIESTA....so mkutano wetu umekuwa FIESTA dah......ila watakaa kimya tu philo msemo wako tarehe 26
 
Sasa kazi ya kuwarudisha watu vijijini kwao imeanza, ila ni dhahiri wengi watatelekezwa!
 
ukuyaona mabasi yaliyosomba wanafunzi na ngombe. pia fiesta ilikuwepo. kingine malori yalijaa takribani nusu uwanja. nyomi la lowassa huwa ni nouma uwanjani huwa ni roli moja tu na pa system basi.
Kwani walisombwa kwenda wapi kama walikwenda kwenye mkutano kweli magufuli anapendwa.
 
kuna ndugu zangu ni chadema wameishia huko uwanjani et kucheck show ....hii ndio tabu tuwe tunapiga bila show kwa hizi siku ili tupunguze kusemwa kwa hilo.....et wamenambia wako FIESTA....so mkutano wetu umekuwa FIESTA dah......ila watakaa kimya tu philo msemo wako tarehe 26
Poleni mafisadi hapa kazi tu.
 
Kwani Wale Waliodhuria WOOOOTE Ni CCM!!!?? Au Waliokuja Siku Ukawa Wanafanya Mikutano WOOTE Ni Ukawa!!!!?? Wale Wa LEO NDIO Wanaosambaziwa Sms Za Ukabila!! Kama HAUJAWAHI Kufika KWAKO Hiyo Sms, Weka No Nikutumie Now!! Aibu!! Yaani Usukuma Na Ukanda Ndio Kigezo Cha Wasukuma KUMCHAGUA Magufuli!!
 
kuna ndugu zangu ni chadema wameishia huko uwanjani et kucheck show ....hii ndio tabu tuwe tunapiga bila show kwa hizi siku ili tupunguze kusemwa kwa hilo.....et wamenambia wako FIESTA....so mkutano wetu umekuwa FIESTA dah......ila watakaa kimya tu philo msemo wako tarehe 26
Wataangamia kwa kukosa maarifa, waache kuwa waumini wa chama wawe wapiga kura
 
Magufuli Leo kauwa,kiukweli jamaa kajipanga

Nimeambiwa malori ya kubebea pamba yalikuwepo kibao! Maana huku kwetu Mr. MALOFA kaja kupayuka tarafa ya Amani wilaya ya Muheza. Ma-FUSO yalikuwa ni utitiri kutoka Muheza mjini kwenda tarafa ya Amani ya kiwa yame jaa wasio jitambua.

Jamaa wamepigwa na mvua huku wakiwa hoi bin taabani kwa njaa.
 
Ukiwaona hao watu hawako motivated hata kodogo
 
kuna ndugu zangu ni chadema wameishia huko uwanjani et kucheck show ....hii ndio tabu tuwe tunapiga bila show kwa hizi siku ili tupunguze kusemwa kwa hilo.....et wamenambia wako FIESTA....so mkutano wetu umekuwa FIESTA dah......ila watakaa kimya tu philo msemo wako tarehe 26

Kila mtu anambinu yake ya kukusanya watu ili apate muda wa kuwa piga Sera,sasa kama mtu amekwenda kuwaangalia wasanii hlf mwisho wa siku akakaa lisaa lazima na nusu ambalo magufuli ananadi Sera zake tatizo liko wapi?maana mkusanyiko haukupungua tangia magufuli anaanza mpaka anamaliza kuhutubia,pia tukumbuke ukawa ni wapinzani na ccm ni chama tawala so nguvu na mpenzi pamoja na kujitoa juu ya movement yao haiwezi kuwa sawa na ccm maana wao ni watawala,but magufuli amejipanga na anaweza kujipigania yaan alichokifanya Leo cjaamini kama kinafanyika mwanza kuitwapo ngome ya chadema
 
Hivi leo ina mana hamkuleta watu au wamekuja wenyeweee......Mm nlienda kuangalia show ya bure tu bhana ila kura kwa Lowasaaaaaaaaaaaaa
 
Dadeki hii ni zaidi ya inauguration ya obama 2008...ama kweli mchezakwao hitunzwa...!!!
 

Attachments

  • 1445099534292.jpg
    1445099534292.jpg
    165 KB · Views: 335
  • 1445099756270.jpg
    1445099756270.jpg
    228.4 KB · Views: 305
Magufuli hawezi kumshinda Lowassa hata kidogo. Hizo ni ndoto za abunwasi
 
Back
Top Bottom