Nimeambiwa malori ya kubebea pamba yalikuwepo kibao! Maana huku kwetu Mr. MALOFA kaja kupayuka tarafa ya Amani wilaya ya Muheza. Ma-FUSO yalikuwa ni utitiri kutoka Muheza mjini kwenda tarafa ya Amani ya kiwa yame jaa wasio jitambua.
Jamaa wamepigwa na mvua huku wakiwa hoi bin taabani kwa njaa.
Nimeambiwa malori ya kubebea pamba yalikuwepo kibao! Maana huku kwetu Mr. MALOFA kaja kupayuka tarafa ya Amani wilaya ya Muheza. Ma-FUSO yalikuwa ni utitiri kutoka Muheza mjini kwenda tarafa ya Amani ya kiwa yame jaa wasio jitambua.
Jamaa wamepigwa na mvua huku wakiwa hoi bin taabani kwa njaa.
Sasa kazi ya kuwarudisha watu vijijini kwao imeanza, ila ni dhahiri wengi watatelekezwa!
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.
Hivi kumbe kuzimia ndiyo kigezo cha nini kwani? Sera zinapomwagwa na mtoto mzuri asiye na hiana kama Magufuli mioyo yooote huinuka na kupona wala hakuna tena kuzimia! Watu huzumia pale wanapokosa Tumaini wanapoenda UKAWA na kukutana na mgonjwa na mtuhumiwa wa nanino kibao
Binafsi Leo sijashuhudia loli hata moja,na yy mwenyewe magufuli kauliza Leo je kuna loli lolote limekuja na watu furahisha,kiukweli ukawa inabidi mjiandae kisailolojia kushindwa.mambo aliyoyafanya magufuli Leo ni yaajabu sana hapa ktk ngome ya chadema
Mh Dr john p magufuli,rais mteule wa jmtz.
Mh Dr john p magufuli,rais mteule wa jmtz.
Labda rais wa WAMA
Hakuna mpenzi wa muziki nchi hii ambaye atajizuia kuhudhuria mikutano ya CCM,
lakini hakuna mpenzi wa mabadiliko ambaye hatahudhuria mikutano ya LOWASA
umeelewa?