AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

mi ni muumini wa tigo toka enzi za buzz. hakuna wa kunitoa huku.

inamaana huna laini mbili/nyingine?
my primary number pia ni tigo, lakini ninazo secondary nambaz laini za voda/zantel/airtel. Hawa secondary nambaz ndio huwa sub, kwahiyo wametoka voda/zantel na AIRTEL amechukua nafasi. airtel yatoshaaa....!!
 
Sasa na mimi ngoja nirudi nilienda kwa kina part of etisalat shenzy type 99% ya staffs wake ni wazenjy na waislam sileti udini ni ukweli mtupu.

etisalt wapo vizuri internet yao speed ipo, modem yao ndio nilikuwa naitumia kabla ya hii ya AIRTEL YATOSHA , nikaitoa modem yangu ya airtel uvunguni. airtel yatoshaaa....!!!
 
Ndio hawa hawa waliwahi niudhi nikafanya namna hii hii line mpaka leo sitaki wasikia kabisa kwanza mambo ya mashimu siku hizi nimebakiwa na TTCL land line moja tu tena ya ofisi kama mtu un a shida na mi mi iwe ya kikazi tu piga saa za ofisi tu tena uongee mambo ya maana sio salamu kama huwezi chukua time niko bise . Mbona masiaha yanaenda tu vizuri napunguza na mastress

View attachment 88770

mkuu hizo ni dalili za kuanza kuzeeka, Binti.com embu ongeza hiyo kwenye zile dalili za utajuaje kama umeanza kuzeeka!
 
Last edited by a moderator:
Niliwai washauri voda waanzishe vifurushi nao vya wiki maana kuna watu wanachoka vidole kila leo kujiunga
Sasa wenzenu wameidaka iyo idea wanapeta
Big up Airtel

Voda ofa zao zina masharti utafikili wamelazimishwa kutoa.Siwapendi na sitawapenda voda.
 
mkuu hizo ni dalili za kuanza kuzeeka, Binti.com embu ongeza hiyo kwenye zile dalili za utajuaje kama umeanza kuzeeka!

Ndio mambo ya ujana kukesha kwenye mitandao na kuongea na simu usiku kucha nakuachia wewe kijana kweli nimeanza kuzeeka. lakini naona ni uzee mzuri tu kwa upande wangu. Hongeza zako kijana
 
Last edited by a moderator:
Tigo unaipenda sana ehee?? unapenda kupiga au kupigwa?

huo ndio uzee mzuri eeh?

Ndio mambo ya ujana kukesha kwenye mitandao na kuongea na simu usiku kucha nakuachia wewe kijana kweli nimeanza kuzeeka. lakini naona ni uzee mzuri tu kwa upande wangu. Hongeza zako kijana

hahaha, haya mkuu angalia usije kuwaomba ttcl wakuunganishie landline ya mfukoni!:smile-big:
 
huu ndio uzee mzuri eeh?



hahaha, haya mkuu angalia usije kuwaomba ttcl wakuunganishie landline ya mfukoni!:smile-big:
sihitaji kutembea kila wakati kujisachi eti nimewaka wapi simu nikitoka ofisini karani wangu atakujibu na utamwachia ujumbe wangu na nitafikishiwa tu na kazi itapigwa kama salamu njoo nyumbani
 
voda offers zao kama vile hawataki kutoa,
na hakuna offer ya voda ya DAY inayokwenda 24hrs, zote mwisho 6usiku haijalishi umejiunga saa ngapi!

Voda ofa zao zina masharti utafikili wamelazimishwa kutoa.Siwapendi na sitawapenda voda.
 
sihitaji kutembea kila wakati kujisachi eti nimewaka wapi simu nikitoka ofisini karani wangu atakujibu na utamwachia ujumbe wangu na nitafikishiwa tu na kazi itapigwa kama salamu njoo nyumbani

okay mkuu:focus: , AIRTEL YATOSHAAA ni nommaa au mtandao gani zaidi?
 
mtoto wa zayuni, hii ngoja nitaiweka kule jukwaa la tech and sciencse halfu nita-kutag. Hapa tuendelee jadili hizi offers za hawa mitandao. airtel yatoshaaa....!!!
Ahsante.Nasubiri ili nianze kuitumia hiyo airtel yatosha
 
Ahsante.Nasubiri ili nianze kuitumia hiyo airtel yatosha

still unaweza tumia airtel yatosha kupitia modem, na ukitaka kupiga simu unaitoa laini kutoka kwa modem then unatwanga simu. airtel yatoshaa....!!!
 
mkuu piga *147*500# unapata mb 60,dk 20 sms 150 kwenda mitandao yote...kwa hapa voda nimewakubali.!!

kweli mkuu,voda ndy fungakazi walikuwa wanaua mitandao mingine yote bongo,naona wote wameona yatosha airtel na tigo wameacha kubana imebidi wafunguke lkn bdo voda naona ni taifa kubwa wamejipanga zaidi.
Halafu kuna hii nilikuwa siijui *147*150# unapata saa moja la kupiga voda kwa voda kwa tsh 150 tangu ulipojiunga.
Vodacom kazi ni kwako.
 
Tigo huduma ya kabang si mchezo. 9,000 kwa wiki unakua na dkk 150 tigi to tigo na 150 other networks. Imenipunguzia gharama
Airtel Tosha ni mwisho Mkuu, buku mbili unakomba dk 70 wiki nzima. Sijatumia line za voda na tigo kumpigia mtu kwa wiki nzima sasa.
 
Eroo hawa jamaa wamekuja kuwakalisha wote,na hichi kifurushi cha AIRTEL TOSHA!
Staki tena cm ya double line!
Aitel move foward...
 
Kwenye red Hapo sawa nimeshawishika kutafuta laini yangu ya airtel, Hakuna mtandao mwimgine unaokupatia 3gb kwa kiasi hicho cha fedha.
Wangeweka na utaratibu wa airtime kwa rafiki ingesaidia sana wanaotumia Ipad maana mtindo wa kutoa line ili kuweka kwenye simu kununua bundle unaharibu ladha
 
kweli mkuu,voda ndy fungakazi walikuwa wanaua mitandao mingine yote bongo,naona wote wameona yatosha airtel na tigo wameacha kubana imebidi wafunguke lkn bdo voda naona ni taifa kubwa wamejipanga zaidi.
Halafu kuna hii nilikuwa siijui *147*150# unapata saa moja la kupiga voda kwa voda kwa tsh 150 tangu ulipojiunga.
Vodacom kazi ni kwako
.
Mkuu hebu fafanua kidogo kwenye hiyo bold kama hutajali. Sijakuelewa
 
Ni hivi mkuu ukijiunga saa 5 kamili unapiga hadi saa 6 kamili kwa tsh 150 tu voda kwenda voda maanayake unanunua

dakika 60 kwa shilingi 150 lakini zinaanza kuhesabika pale ulipojiunga!...

Nadhani umenisoma?..

Mkuu hebu fafanua kidogo kwenye hiyo bold kama hutajali. Sijakuelewa
 
Haya Makampuni ya Simu yanatuibia sana tu. Kwa ushauri wangu. Ili Airtel waweze kupiga Bao Mitandao mingine Maarufu kwa Vifurushi vya Internet kama vile Zantel, Wanatakiwa kuzindua kifurushi cha mwezi cha 5GB kwa gharama ya kati ya Tsh10,000 na 12,000 tu.

Kwa kufanya hivyo Basi watakuwa Juu na Kila Mtu ataweza kuhamia Airtel ikiwa ni pamoja na Mm na Co-workers wangu ambao hutumia wastani wa 200,000 kwa mwezi kwa ajili ya Internet tu.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom