AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

Jamani airtel yatosha!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mi natumia voda na nipo maeneo ya mabibo hostel.huku hata network haikamati vizuri yani ni kigugumizi mara ije mara inaondoka....drop outs kibao kwa hiyo hata sifaidi

nina wasiwasi na cm yako!
 
Tigo huduma ya kabang si mchezo. 9,000 kwa wiki unakua na dkk 150 tigi to tigo na 150 other networks. Imenipunguzia gharama

hamia Airtel unaibiwa huko, hivyo vifurushi vyote Airtel ni 1999.!!
 
kwa kweli airtel is ze bestest,wanamuangalia mwenye kpato cha kawaida sana,walianza na ile mbs zao 400 za mwezi mzima sasa wamekuja kivingne bomba zaidi,hata speed yao ni reasonable

Na sisi wa Airtel je? Mbona hawatuelezi offa zap?
 
tatizo airtel ni spidi ya internet ila kama hufuati intaneti inafaa..
 
Airtel yatosha ndo mpango,jamaa wanalaunch offer mjini moro pasaka hii
 
tatizo airtel ni spidi ya internet ila kama hufuati intaneti inafaa..

Inategemea na ulipo. Mimi mbona hainipi shida, watching youtube videos na downloads za kutosha iko poa sana. The best thing about airtel ni kuwa unaweza to switch to 2g na bado ukapata speed reasonable kwenye simu na ukasave charge muda ambao huna matumizi mengi siyo kama tigo usipoweka 3g ni sawa na huna internet kabisa.
u5usuve5.jpg
hizo ni speedtest za muda huu. Download speed chini ya 1000 ni server za bongo hizo zenye zaidi ni server za nje zikiongozwa na ya SouthAfrica yenye 1600

Sent from my SGH-T959 using Tapatalk 2
 
HAHAHAH, hapa nimejiunga na cha tsh 5999 full kufaidi, na natumia simu yenye wireles kukonekt kwenye laptop yangu, ambapo inanipa urahisi kupiga simu, kwahiyo nikijisikia kutwanga na twanga tu sio mpaka nitoe laini kwenye modem.
Hebu nielekeze mkuu.Una connect vipi simu wireless kwenye laptop!?u mean wifi!??toa darasa kidogo
 
Mpango mzima AIRTEL bana........

Hii kweli YATOSHA!!! huhitaji zaidi ya hapa!!

Hii ndio raha ya ushindani....... furaha kwa mtumiaji!!!
 
Hebu nielekeze mkuu.Una connect vipi simu wireless kwenye laptop!?u mean wifi!??toa darasa kidogo

mtoto wa zayuni, hii ngoja nitaiweka kule jukwaa la tech and sciencse halfu nita-kutag. Hapa tuendelee jadili hizi offers za hawa mitandao. airtel yatoshaaa....!!!
 
If hivyo ndivyo na maneno haya yanatoka kwa watumiaji na si kutoka kwa providers naifufua laini yangu ya AIRTEL... Nilikuwa natumia ya TIGO na ZANTEL naona zinazingua siku mbili tatu hizi!
 
Hapana mimi sio mfanyakazi wa airtel , ni kwamba nimefurahishwa tu na vifurushi vyao vya AIRTEL YATOSHA.....!!TSH 349 -10MIN(kupiga mitandao yote)+ 100SMS+25MBTSH 499-DAY-25MIN(kupiga mitandao yote)+200SMS+75MBTSH 749 -DAY-30 MIN (kupiga mitandao yote)+ 250 MB !TSH 1,999-WEEK -70MIN(kupiga mitandao yote)+ 700SMS+175MBTSH 2,999-WEEK- 175MIN(kupiga mitandao yote)+ 1400SMS+500MBTSH 4,499-WEEK-210 MIN (kupiga mitandao yote)+(unlimited sms) 1.5 GB !TSH 5999-WEEK-275 MIN+(kupiga mitandao yote)+(unlimited sms)+3GB !bofya *149*99# Nimeitoa laini yangu uvunguni sasa nimerudi AIRTEL kwa muda......
Airtel sasa nimewakubali. Nimenunua laini nyingine leo ili niwe nazo 2 kwa ajili ya mzuka nilioupata. Kwenye laini zangu nina jumla ya dk 350 kupiga mitandao yote, nina 1gb na sms za kufa mtu. Yote hayo kwa sh 6000 tu! Hakuna cha cheka, zap, cheka nao wala kabangi. Airtel mambo iko huku bhana!
 
Niliwai washauri voda waanzishe vifurushi nao vya wiki maana kuna watu wanachoka vidole kila leo kujiunga
Sasa wenzenu wameidaka iyo idea wanapeta
Big up Airtel
 
usikariri sababu wewe umezoea kununuliwa,

Ndio hawa hawa waliwahi niudhi nikafanya namna hii hii line mpaka leo sitaki wasikia kabisa kwanza mambo ya mashimu siku hizi nimebakiwa na TTCL land line moja tu tena ya ofisi kama mtu un a shida na mi mi iwe ya kikazi tu piga saa za ofisi tu tena uongee mambo ya maana sio salamu kama huwezi chukua time niko bise . Mbona masiaha yanaenda tu vizuri napunguza na mastress

airtel.jpg
 
Sasa na mimi ngoja nirudi nilienda kwa kina part of etisalat shenzy type 99% ya staffs wake ni wazenjy na waislam sileti udini ni ukweli mtupu.
 
Back
Top Bottom