AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

usiteme, tafunia karanga humohumo mdomoni pamoja na big g, au weka big g pembeni utamu wa karanga ukiisha unairudisha big g mdomoni.

Siwezi kutema Big G ( tigo ) kwa karanga za kuonjeshwa ( mitandao mingine ) .
 
Kama si mpigaji sana wa simu na si mwandikaji sana wa sms na si mtumiaji sana wa internet na unatumia line ya Tigo jiunge tu na tigo time unapiga mitandao yote kwa TShs. 1.32 (VAt inclusive) kwa sekunde kwa mitandao yote TZ. Nimepiga voda kwa voda naona wanachaji Tshs 2.05 (VAT) inclusive kwa sekunde na inamaana ukipiga mtandao mwingine wanakulipisha zaidi ya hapo.
 
Kama si mpigaji sana wa simu na si mwandikaji sana wa sms na si mtumiaji sana wa internet na unatumia line ya Tigo jiunge tu na tigo time unapiga mitandao yote kwa TShs. 1.32 (VAt inclusive) kwa sekunde kwa mitandao yote TZ. Nimepiga voda kwa voda naona wanachaji Tshs 2.05 (VAT) inclusive kwa sekunde na inamaana ukipiga mtandao mwingine wanakulipisha zaidi ya hapo.

Utabaki tu wewe huko wenzako tunafaidi bila kuwa na mawazo ya VAT sijui nn
 
Nasikia airtel wanampango wa kuboresha zaidi airtel yatosha

either mambo haya yanaweza kuwepo

1. Kuwa ya masaa 24
2. Bundle za mwezi kuwekwa


ni kutokana na kukusanya maoni ya wateja katika facebook page yao
 
Hapana mimi sio mfanyakazi wa airtel , ni kwamba nimefurahishwa tu na vifurushi vyao vya AIRTEL YATOSHA.....!!

TSH 349 -10MIN(kupiga mitandao yote)+ 100SMS+25MB

TSH 499-DAY-25MIN(kupiga mitandao yote)+200SMS+75MB

TSH 749 -DAY-30 MIN (kupiga mitandao yote)+ 250 MB !


TSH 1,999-WEEK -70MIN(kupiga mitandao yote)+ 700SMS+175MB

TSH 2,999-WEEK- 175MIN(kupiga mitandao yote)+ 1400SMS+500MB

TSH 4,499-WEEK-210 MIN (kupiga mitandao yote)+(unlimited sms) 1.5 GB !

TSH 5999-WEEK-275 MIN+(kupiga mitandao yote)+(unlimited sms)+3GB !

bofya *149*99#

Nimeitoa laini yangu uvunguni sasa nimerudi AIRTEL kwa muda......

Ebana eeeeh hawa jamaa ni nouma!!
 
nina wasiwasi na cm yako!

Usiwe na wasiwasi na simu yangu maana hata wenzangu nao wanalia. Niambie nikuelekeze wapi nilipo na ni eneo gani exactly nazungumzia.Manaa nahofu utasema unahofu hata na nyumba yangu :yo:
 
Hata hivyo wasingeweka "per day" au per "week". Huu ni ujinga wao ingetosha kukokotoa kwenye dakika wanazokupa tu, halafu wangekuachia mwenyewe ikiwa hizo dakika 10 utumie kwa kwa siku, wiki au mwezi-vinginevyo ni wizi mwingine na usumbufu wa watu kupiga simu zisizo na maana ili mtu amalize dakika zake ndani ya given time; ambapo ni uharibifu wa resources
 
Jamani hata Voda nao wako vizuri kwa vifurushi vyao. Tsh. 350/= (dk. 10) na Tsh. 500/= (dk. 20). pia wanatoa zawadi, mathalani mimi nimepewa Tsh. 20,000/= kama salio, kutumia kwa siku 3 kupiga voda-voda. Wanatupa unafuu wa kuwasiliana kwa kweli! Wale wanaotumia Zantel na Tigo hebu mtujuze wana nini kizuri?
Mbona hujafafanua vizuri hapo kwenye ''VIFURUSHI"?
 
vipi mathematics hii ofa ishaisha me natumia line ya airtel kwenye moderm tu nayo pia ipo
 
Last edited by a moderator:
Labda noma kwa ubabaishaji na wizi kudadeki, hawana tofauti na wenzao wa Tigo na Voda
 
Umelipwa bei gani mkuu? Hili siyo jukwaa la matangazo. Mkuu au baba ako ni muairtel?
 
wametisha voda wanajikanyaga tifo hovyo wengine wanajaribu AIRTEL NI NOMA
 
Airtel has to learn better corporate imaging. They are promoting Nazism through imagery on EATV.
 
Hata hivyo wasingeweka "per day" au per "week". Huu ni ujinga wao ingetosha kukokotoa kwenye dakika wanazokupa tu, halafu wangekuachia mwenyewe ikiwa hizo dakika 10 utumie kwa kwa siku, wiki au mwezi-vinginevyo ni wizi mwingine na usumbufu wa watu kupiga simu zisizo na maana ili mtu amalize dakika zake ndani ya given time; ambapo ni uharibifu wa resources
Si hivyo tu, upande wa data ni hovyo kabisa. Nilijaribu kuitumia hata kusoma JF nikashindwa. Ni slow kuliko maelezo, sijui kama ni sehemu zote au ni huku niliko.
 
Back
Top Bottom