mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,324
- 1,116
- Thread starter
- #121
niliona ile nguo yenye nembo ya nazi aliyokuwa amevaa yule sijui dj wa kipindi nimekisahau jina sijui fnl, nilishangaa sana ilikuwaje kuvaa nguo ile na kuwa hewani kwenye tv na airtel ndio walikuwa wamedhamini show. anyway ndio kidunia dunia ya 3 , ingekuwa kwa dunia za kwanza tayari ingeshakuwa gumzo kubwa sana.Airtel has to learn better corporate imaging. They are promoting Nazism through imagery on EATV.