AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

AIRTEL YATOSHA ni nomaaaa.....!!!!

Airtel has to learn better corporate imaging. They are promoting Nazism through imagery on EATV.
niliona ile nguo yenye nembo ya nazi aliyokuwa amevaa yule sijui dj wa kipindi nimekisahau jina sijui fnl, nilishangaa sana ilikuwaje kuvaa nguo ile na kuwa hewani kwenye tv na airtel ndio walikuwa wamedhamini show. anyway ndio kidunia dunia ya 3 , ingekuwa kwa dunia za kwanza tayari ingeshakuwa gumzo kubwa sana.
 
Umelipwa bei gani mkuu? Hili siyo jukwaa la matangazo. Mkuu au baba ako ni muairtel?

jf huwa tunashare vitu ambavyo wengine tunavijua na itakuwa ni faida kwa wengine. Kama na wewe kuna kitu/huduma/offer unaifahamau unahisi itakuwa faida kwa wengi tujuze ndugu bila hiyana, au baki na moyo wa korosho subiri mpaka ulipwe.
 
niliona ile nguo yenye nembo ya nazi aliyokuwa amevaa yule sijui dj wa kipindi nimekisahau jina sijui fnl, nilishangaa sana ilikuwaje kuvaa nguo ile na kuwa hewani kwenye tv na airtel ndio walikuwa wamedhamini show. anyway ndio kidunia dunia ya 3 , ingekuwa kwa dunia za kwanza tayari ingeshakuwa gumzo kubwa sana.

Airtel ni kampuni ya Wahindi na Hitler alitoa alama ya Swastika kutoka alama za kidini za India. Yule tumbili mweusi kavalishwa tu na wahindi matusi huku hajijui.

Ujumbe ni kwamba Wahindi wanataka kutawala dunia kama alivyotaka Hitler.

The whole thing looks deliberately planned. Too much of a coincidence.

Ina maana watu wooote Airtel hawajui maana ya ile alama?

Ujerumani unashtakiwa na hata kupigwa faini/kufungwa kwa upuuzi kama huu.

Nazism is not fashionable. Adui yako muombee njaa.
 
Si hivyo tu, upande wa data ni hovyo kabisa. Nilijaribu kuitumia hata kusoma JF nikashindwa. Ni slow kuliko maelezo, sijui kama ni sehemu zote au ni huku niliko.

tuongee ukweli bila hiyana airel speed wanajitahid sasa, mimi huwa naangalia mpira ligi ya uingereza na uefa kutoka kwenye internet kwa pc/laptop na ninaangalia mpira mpaka unaisha sometimes without even a single scratch.
ila ukweli speed kwenye simu inazingua kidogo inakuwa edge muda mwingi 3g mara chache, lakini laini ukiweka kwenye modem inasoma vizuri 3g/wcdma na hapo ndipo inakuwa speed nzuri , wakati mwingine down speed inafika hadi 1mbps/2mbps/3mbps .
 
tuongee ukweli bila hiyana airel speed wanajitahid sasa, mimi huwa naangalia mpira ligi ya uingereza na uefa kutoka kwenye internet kwa pc/laptop na ninaangalia mpira mpaka unaisha sometimes without even a single scratch.
ila ukweli speed kwenye simu inazingua kidogo inakuwa edge muda mwingi 3g mara chache, lakini laini ukiweka kwenye modem inasoma vizuri 3g/wcdma na hapo ndipo inakuwa speed nzuri , wakati mwingine down speed inafika hadi 1mbps/2mbps/3mbps .
Sijawahi kuibahatisha 3g airtel. Labda tatizo ni huku porini ninakoishi.
 
Inaonekana kuna mabadiliko fulani kwenye hii industry. Vifurushi vya flat tariff nimeanza kuvisikia Voda. Ni vizuri sana, hasa kwa sisi watumiaji. Ila nina uhakika Tigo wanakuja kufunika na kali zaidi ya zote. Hata hivyo inabidi ajipange. Kwa hivi vifurushi vya flat tariff, mwenye wide coverage ndiyo atakuwa na nguvu zaidi.

Hawa wote wanakwepa kiujanja agizo la TCRA la kuwa na flat rates kuanzia tarehe 1 Machi, 2013.
Naona kwa kuwa TCRA haipo kwa maslahi ya watanzania, ndiyo maana tunadanganywalizia na hutu tu-vifurushi twa ajabu! Tariff zilizokuwa zimependekezwa nafikiri ni Tsh. 32 au 34 kwa dakika kwa mitandao yote; na hii ilikuwa inatakiwa kupungua kila mwaka, hadi itafika kwenye Tsh. 20+ kwa dakika.

TCRA hawakuagiza mfumo wa vifurushi; kwani sasa bila kujiunga kifurushi, ni balaa, pesa zinakwisha kwenye simu fasta. Hivyo, watanzania tusidanganyike kirahisi, tupige kelele kuulizia agizo la TCRA Yule bwana msemaji wa TCRA nafahamu yumo humo, swali kwake, mbona agizo lenu halijatimizwa?
 
Back
Top Bottom