Airtel wameniharibia siku, mhudumu wake kanitolea maneno ya kashfa

Airtel wameniharibia siku, mhudumu wake kanitolea maneno ya kashfa

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,050
Ndugu zanguni...

Ilikuwa jana usiku majira ya 5 ambapo niliamua kujiunga na kifurushi cha "Airtel yatosha" cha Tsh 1000, very soonly baada ya kujiunga nikapewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB,
Usiku huo nilitumia dakika kama 15 lakin sms sikutumia hata moja, Cha ajabu leo nimeamka asubuhi nimekuta wamekata salio lote la dakika pamoja sms zimebaki 0 hali iliyonifanya niwapige huduma kwa wateja lakini nikaambulia porojo na ahadi zisizotekelezeka,

Jambo hili likanifanya nirudie tena kwa mara ya 4 kupiga tena simu lakini mmoja wa watoa huduma (binti) akawa hataki kunielewa tatizo langu na mwisho akaniambia NISIWE MBISHI NIWE NATUMIA AKILI na meaneno mengine ya ovyo kabisa.

My take: Hiv ninyi mitandao ya simu mpaka lini mtaendelea kutudharau na kutunyanyasa sisi wateja wenu? Kodi zetu mnaiba lakini pia hata hili jambo dogo liwashinde?

Cc: airtel
 
Last edited by a moderator:
pole mkuu.. Airtel customer service ni poor sana coz hata mimi wamewahi kuifungia line yangu nilipojaribu kuwapigia kupata msaada niliambulia majibu ya hovyo sana..Wawe wanawafanyia Training watu wa Customer care.
 
Ndugu zanguni...

Ilikuwa jana usiku majira ya 5 ambapo niliamua kujiunga na kifurushi cha "Airtel yatosha" cha Tsh 1000, very soonly baada ya kujiunga nikapewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB,
Usiku huo nilitumia dakika kama 15 lakin sms sikutumia hata moja, Cha ajabu leo nimeamka asubuhi nimekuta wamekata salio lote la dakika pamoja sms zimebaki 0 hali iliyonifanya niwapige huduma kwa wateja lakini nikaambulia porojo na ahadi zisizotekelezeka,

Jambo hili likanifanya nirudie tena kwa mara ya 4 kupiga tena simu lakini mmoja wa watoa huduma (binti) akawa hataki kunielewa tatizo langu na mwisho akaniambia NISIWE MBISHI NIWE NATUMIA AKILI na meaneno mengine ya ovyo kabisa.

My take: Hiv ninyi mitandao ya simu mpaka lini mtaendelea kutudharau na kutunyanyasa sisi wateja wenu? Kodi zetu mnaiba lakini pia hata hili jambo dogo liwashinde?

Cc: airtel

Itakuwa ulilala na bundi wewe sisi wenzio mbona tunachonga nao fresh tu!
 
Last edited by a moderator:
Mmh .. Ila wote ni watoto wa baba mmoja, ila tigo wanajitahidi katika customer service.
 
pole mkuu.. Airtel customer service ni poor sana coz hata mimi wamewahi kuifungia line yangu nilipojaribu kuwapigia kupata msaada niliambulia majibu ya hovyo sana..Wawe wanawafanyia Training watu wa Customer care.

Mkuu kweli kabisa hawa Airtel wanakera sana.
 
Ndugu zanguni...

Ilikuwa jana usiku majira ya 5 ambapo niliamua kujiunga na kifurushi cha "Airtel yatosha" cha Tsh 1000, very soonly baada ya kujiunga nikapewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB,
Usiku huo nilitumia dakika kama 15 lakin sms sikutumia hata moja, Cha ajabu leo nimeamka asubuhi nimekuta wamekata salio lote la dakika pamoja sms zimebaki 0 hali iliyonifanya niwapige huduma kwa wateja lakini nikaambulia porojo na ahadi zisizotekelezeka,

Jambo hili likanifanya nirudie tena kwa mara ya 4 kupiga tena simu lakini mmoja wa watoa huduma (binti) akawa hataki kunielewa tatizo langu na mwisho akaniambia NISIWE MBISHI NIWE NATUMIA AKILI na meaneno mengine ya ovyo kabisa.

My take: Hiv ninyi mitandao ya simu mpaka lini mtaendelea kutudharau na kutunyanyasa sisi wateja wenu? Kodi zetu mnaiba lakini pia hata hili jambo dogo liwashinde?

Cc: airtel

msamehe tu huyo mtoa huduma,wakati mwingine nao wanakuwa na mapungufu ya kibinadamu,hebu fikiria mtu kwa siku moja anapokea simu mpaka mia tano,na hapo anakutana na vichwa tofaut tofaut lazma anaweza kujikuta anateleza kama binadamu,pia uskute huyo dada hapo hapo ni mjamzito,kweli lazima itafka point atateleza tu!,
 
Last edited by a moderator:
Mimi huwa naona angalau Airtel wako vizuri in comparison na wengine, Voda ndiyo worse kabisa.
Nakushauri uendelee kubaki Airtel huko ni hovyo zaidi, unaweza ukarusha ngumi kwenye simu.
 
Kama unakumbuka jina lake nenda kalalamike mkuu wamwadabishe.
 
Ndugu zanguni...

Ilikuwa jana usiku majira ya 5 ambapo niliamua kujiunga na kifurushi cha "Airtel yatosha" cha Tsh 1000, very soonly baada ya kujiunga nikapewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB,
Usiku huo nilitumia dakika kama 15 lakin sms sikutumia hata moja, Cha ajabu leo nimeamka asubuhi nimekuta wamekata salio lote la dakika pamoja sms zimebaki 0 hali iliyonifanya niwapige huduma kwa wateja lakini nikaambulia porojo na ahadi zisizotekelezeka,
Jambo hili likanifanya nirudie tena kwa mara ya 4 kupiga tena simu lakini mmoja wa watoa huduma (binti) akawa hataki kunielewa tatizo langu na mwisho akaniambia NISIWE MBISHI NIWE NATUMIA AKILI na meaneno mengine ya ovyo kabisa.

My take: Hiv ninyi mitandao ya simu mpaka lini mtaendelea kutudharau na kutunyanyasa sisi wateja wenu? Kodi zetu mnaiba lakini pia hata hili jambo dogo liwashinde?

Cc: airtel

Nashangaa!!! kwa jinsi ninavyofahamu ukinunua kifurushi cha Tshs 1999 unapewa:
1 Dakika 60 mitandao yote
2 SMS 700 mitandao yote
3 175MB
Hii ya Tsh 1000, kupewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB, imeanza lini?!!
 
Last edited by a moderator:
Nashangaa!!! kwa jinsi ninavyofahamu ukinunua kifurushi cha Tshs 1999 unapewa:
1 Dakika 60 mitandao yote
2 SMS 700 mitandao yote
3 175MB
Hii ya Tsh 1000, kupewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB, imeanza lini?!!
ndo mana ikaitwa airtel yatosha ni kifurush maluum kwa wateja ambacho kinakupa zaidi ya mitandao yote . KARIBU AIRTEL JIUNGE NASI :clap2:
 
Nashangaa!!! kwa jinsi ninavyofahamu ukinunua kifurushi cha Tshs 1999 unapewa:
1 Dakika 60 mitandao yote
2 SMS 700 mitandao yote
3 175MB
Hii ya Tsh 1000, kupewa Dakika 40 za kwenda mitandao yote, Sms 1000 na 300 MB, imeanza lini?!!


Hii ni ya siku moja! hivyo wanakupa zaidi wakijua wengi hawamalizi zote!
 
Mitandao ya simu ya kipuuzi sana. Niliwahi kujibiwa mbovu na mhudumu wa Sasatel baada ya kununua modem kisha kupita siku mbili bado haifanyi kazi. Nikaamua kuitupa modem ile. Baadaye Sasatel wakawa wananipigia simu kuniuliza mbona situmii modem yao. Nikawaambia nilijibiwa mbovu na nimeamua kutoitumia tena.
 
Lakini jamani buku tu ndio unaanzisha sledi JF
 
Pole sana ndugu yangu jinsi Airtel walivyokufanyia,hata mimi kama wiki mbili hivi zimepita,niliweka salio la elfu mbili ili ninunue bando ya wiki,wakati nanunua bando,nikapata msg kuwa salio lako halitoshi,ha! Nikashoku,kwa nini wakati bando ya wiki.ni shilingi 1999 na mimi nimeweka 2000 !! Kuja kuangalia salio nikakuta salio ni.1750 tayari nimekatwa 350,nikasema potelea mbali haidhuru,nikaongeza 500 tena,kuja kununua bando nikapata msg tena kuwa salio halitoshi kujiunga,ha! Nikashoku tena,kulikoni! Nikakumbuka ahaa kuna kamchezo kale ka mabingwa,lakini mimi ckuwahi kujiunga na kamchezo hako,
Nikapiga cm huduma kwa wateza,nikampata dada mmoja,akaniuliza kama niliwahi kujiunga,nikamwambia hapana,akanipiga longolongo akaniacha kwenye mataa bila jibu,nikapiga tena,nikampata dada mwingine,naye hivyo hivyo,nikapiga tena,nikampata kaka mmoja,yeye ndio akaniambie ni kweli tulikuunganisha kwenye mchezo kwa makosa hivyo tutashughukia suala lako ndani ya masaa 24,kweli kesho yake nikaweka salio nikajiunga nokakuta wamenitoa, kwa hiyo AIRTEL waliniingiza kwenye mchezo kwa nguvu,na pesa walionikata walisema.watanirudishia,hawakurudisha hadi sasa,kweli hata mimi walinikera sana.
 
Back
Top Bottom