Silent King
Senior Member
- Jul 17, 2026
- 163
- 361
Nikiwa kijana mkubwa wa secondary,kama unavyojua kuna kipindi kinafika unaona kabisa hapa wazazi inabidi wasiendelee kuzaa sasa,kwanza kutokana na umri wao lakini pili ile kuona inakuwaje bimkubwa na umri huu anabeba mimba
Ilikuwa inanipa shida kidogo,lakini sikujua kwamba Mwenyezi Mungu anasababu kubwa sana ya kumleta yule dogo akiwa kama last born pale nyumbani
Miaka kadhaa baadae, huku ukubwani dogo huyo ndio kawa nguzo ya familia kwa kiasi kikubwa sana,yeye ndio kajaliwa uchumi mzuri sana na anaisadia familia kwa kiasi kikubwa sana
Hakika kuna mambo Mwenyezi Mungu pekee ndio anajua,nimejifunza kitu kimoja kikubwa kwamba,kila kitu hutokea kwa sababu
Kwahiyo si kazi yako kujaji mambo ambayo huwa yanatokea hapa duniani just wait and see,utashangazwa na hekima ya Mwenyezi Mungu.
Silent king
Ilikuwa inanipa shida kidogo,lakini sikujua kwamba Mwenyezi Mungu anasababu kubwa sana ya kumleta yule dogo akiwa kama last born pale nyumbani
Miaka kadhaa baadae, huku ukubwani dogo huyo ndio kawa nguzo ya familia kwa kiasi kikubwa sana,yeye ndio kajaliwa uchumi mzuri sana na anaisadia familia kwa kiasi kikubwa sana
Hakika kuna mambo Mwenyezi Mungu pekee ndio anajua,nimejifunza kitu kimoja kikubwa kwamba,kila kitu hutokea kwa sababu
Kwahiyo si kazi yako kujaji mambo ambayo huwa yanatokea hapa duniani just wait and see,utashangazwa na hekima ya Mwenyezi Mungu.
Silent king