Yaani huwezi amini sasa hakuna tena 400MB KWA 2500.. HILI NDILO LILILOKUA BUNDLE LA WATANZANIA WALIO NA KIPATO CHA CHINI SASA TWENDE KWA NINI ATAKAYEWEZA KUTUKOMBOA....
KWA HILI WASITEGEMEE TENA WATANZANIA WAENDELEE KUTUMIA AIRTEL KATIKA INTERNET...BYE BYE AIRTEL
Hata mi nahamia sasatel!
Yaani huwezi amini mkuu hawa airtell wameniuzia bundle ya 150MB kwa elfu sita jana leo nimeenda kununua ZANTEL ndio nakandamiza nayo tu mkuu sasa hivi Airtell limekuwa genge la wezi tu mkuu.Yaani huwezi amini sasa hakuna tena 400MB KWA 2500.. HILI NDILO LILILOKUA BUNDLE LA WATANZANIA WALIO NA KIPATO CHA CHINI SASA TWENDE KWA NINI ATAKAYEWEZA KUTUKOMBOA.... KWA HILI WASITEGEMEE TENA WATANZANIA WAENDELEE KUTUMIA AIRTEL KATIKA INTERNET...BYE BYE AIRTEL
Yaani huwezi amini mkuu hawa airtell wameniuzia bundle ya 150MB kwa elfu sita jana leo nimeenda kununua ZANTEL ndio nakandamiza nayo tu mkuu sasa hivi Airtell limekuwa genge la wezi tu mkuu.
Nina Blackberry latest vision, nilipokwenda Voda kuwauliza ni kwa nini haiconnect Internet wakanijibu mpaka niwe na BB subscription ambayo gharama yake ni shilling 30,000 kwa mwezi, nikawasihi kwamba hii sio Blackberry yangu ya kwanza kutumia bali ni ya nne nazote hizo nilikuwa nalipia pay as you go, wakaniambia eti sasa hivi mpaka uingizwe kwenye Blackberry server yao na hakuna jinsi ni lazima nilipie 30,000. nimekataa siwezi kujiingiza gharama ambazo ni unneccessary, ni kwa nini laptop yangu nitumie gharama nafuu halafu smartphone ndio inigharimu?
Sasa basi kama hawa Airtel nao watakuwa wameingia kwenye upuuzi wa kusitisha huduma hii rafiki hakuna chaguo lingine zaidi ya ku boycot mtandao wao for good. Watanzania tusikubali kugeuzwa makondoo na mkumbuke zamani tulikuwa tunalipia airtime kwa dolar, ikaja tukawa tunachajiwa kwa dakika na hatimaye sasa tunachajiwa kwa sekunde, pls kama hili swala ni kweli tutaanzisha special thread hapa na kukusanya chip zao tuwarudishie na uzuri media tunazo humuhumu.
tupatie screen shot ya ujumbe huo mkuuJamani mbona mimi imeniletea ujumbe huu
Name/Number: +255786507507
Time: 2012-03-03 00:40:22
Content: Mpendwa mteja! Kifurushi hiki kinagarimu shilingi 2,500/= tu kwa mwezi. Kujiunga SMS INTERNET kwenda 15444. Utaweza jiunga tena mara umalizapo kifurushi chako
hii ikimaanisha huduma bado ipo si ndio
May be mkuuMkuu tumia simu ya Mkononi piga namba 100 kisha 4 halafu 2 itakuletea hiyo kitu. Nadhani itabidi kujiunga kwa kutumia simu kisha tunarudisha kwenye modem sasa