Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,776
- 24,211
Baada kupata crisis za bundle hapo March 3, ilikuwa ni mtihani mzito kwa sisi (TEAM POPO) au wazee wa bundle. Za usiku kwan bundle hizi ziliondolewa na mitandao mingi hili. Ilinipelekea ugumu ku-access internet lakini sasa.
TTCL wamerudi kwenye mstari kwa Kutuletea kifurushi cha BANDIKA BANDUA, kwa buku tu unapata GB 4 za usiku na mb 500 kwa asubuhi had jioni.
Mitano tena kwaooo
TTCL wamerudi kwenye mstari kwa Kutuletea kifurushi cha BANDIKA BANDUA, kwa buku tu unapata GB 4 za usiku na mb 500 kwa asubuhi had jioni.
Mitano tena kwaooo