Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,849
- 2,628
Baadhi ya kampuni zinafakiwa sana kutengeneza matangazo ya kuvutia kwa wateja na baadhi ukwama.
Moja ya kampuni zilizofanikiwa sana ni coca cola walikuwa na tangazo ambalo wengi sana hadi waliweza kuliifadhi kwenye simu zao la "ONJA MSISIMKO"
Kwa sasa naona Airtel nao wamefanikwa kwenye tangazo la "AIRTEL MONEY HAKATWI MTU" japo nimejaribu kulitafuta kwenye mtandao sijafanikiwa na kuliambatanisha hapa, mtunzi amejitahidi kwenye melody.
Naomba jina kwa anaefahamu msanii aliyeandaa tangazo la airtel money kwa sasa naona kijana amelitendea haki nataka kufahamu kazi zake zingine nisikilize.
Ila pongezi AIRTEL kwa kulamba Karata dume japo mnaweza kuona ni tangazo la kawaida.
Nawasilisha
Moja ya kampuni zilizofanikiwa sana ni coca cola walikuwa na tangazo ambalo wengi sana hadi waliweza kuliifadhi kwenye simu zao la "ONJA MSISIMKO"
Kwa sasa naona Airtel nao wamefanikwa kwenye tangazo la "AIRTEL MONEY HAKATWI MTU" japo nimejaribu kulitafuta kwenye mtandao sijafanikiwa na kuliambatanisha hapa, mtunzi amejitahidi kwenye melody.
Naomba jina kwa anaefahamu msanii aliyeandaa tangazo la airtel money kwa sasa naona kijana amelitendea haki nataka kufahamu kazi zake zingine nisikilize.
Ila pongezi AIRTEL kwa kulamba Karata dume japo mnaweza kuona ni tangazo la kawaida.
Nawasilisha