Vijisenti
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 544
- 328
Hawa Airtel sasa wananipa mashaka, nimeweka tsh 2000 nimeongea sek kama 20 imekata na hela imeisha,
nikaweka tsh 1000 nimeongea sekunde chache imebaki tsh 71. Hiyo sh 71 haitaki kwenda kokote hata
kwenye Airtel yenyewe eti huna salio la kutosha! Jamani inakuwaje kwa mtandao mkubwa kama huu?
Huduma kwa wateja toka saa 12 wanahudumia wateja wengine, nimekaa hewani nusu saa nasubiri nimechoka. Sasa ndo kabisaaa kila nikipiga jaribu baadaye huwezi kuunganishwa wanaongea na wateja wengine!
nikaweka tsh 1000 nimeongea sekunde chache imebaki tsh 71. Hiyo sh 71 haitaki kwenda kokote hata
kwenye Airtel yenyewe eti huna salio la kutosha! Jamani inakuwaje kwa mtandao mkubwa kama huu?
Huduma kwa wateja toka saa 12 wanahudumia wateja wengine, nimekaa hewani nusu saa nasubiri nimechoka. Sasa ndo kabisaaa kila nikipiga jaribu baadaye huwezi kuunganishwa wanaongea na wateja wengine!