Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,836
- 4,401
Nimekuwa nikitumia huduma za fedha za mitandao mingi ya simu lakini sijawahi kuona huduma ya hovyohovyo kama airtel money.Uhaka wa fedha yako kufika ulipoituma ni mdogo sana. Unaweza ukatuma hela unakatwa kodi, hela inapungua kwenye akaunti na utatumiwa meseji kuwa muamala umefanikiwa lakini cha ajabu hela haifiki ulipoituma.
Mara kadhaa nime-experience hili tatizo lakini baada ya siku tatu wanarudisha hela ila safari hii hii inaenda wiki ya tatu hela haijarudi nimepiga sana customer care na kila customer care ana jibu lake ambalo halifanani na customer care uliyeongea nae muda uliopita. Wengine wanakuambia mbona kwenye system hela imeenda wakati mimi muhusika hiyo hela sijaipokea. Nima uchungu sana na hasira na watu wanaotoa huduma za hovyo.
Sasa nimeamua Ili kupoza hasira zangu nitamtukana matusi mazito customer care atakayenipa majibu ya kipumbavu.Kwa bahati nzuri hela waliyoniibia sio nyingi je ingekuwaje mfano ingekuwa ni fedha nene. Ni heri wa-mess up kwenye calls, sms, na internet lakini sio kwenye financial services. Saa nyingine tunafanya transaction ambazo ni critical halafu wanatokea wapumbavu kama hawa wanakukwamisha
Mara kadhaa nime-experience hili tatizo lakini baada ya siku tatu wanarudisha hela ila safari hii hii inaenda wiki ya tatu hela haijarudi nimepiga sana customer care na kila customer care ana jibu lake ambalo halifanani na customer care uliyeongea nae muda uliopita. Wengine wanakuambia mbona kwenye system hela imeenda wakati mimi muhusika hiyo hela sijaipokea. Nima uchungu sana na hasira na watu wanaotoa huduma za hovyo.
Sasa nimeamua Ili kupoza hasira zangu nitamtukana matusi mazito customer care atakayenipa majibu ya kipumbavu.Kwa bahati nzuri hela waliyoniibia sio nyingi je ingekuwaje mfano ingekuwa ni fedha nene. Ni heri wa-mess up kwenye calls, sms, na internet lakini sio kwenye financial services. Saa nyingine tunafanya transaction ambazo ni critical halafu wanatokea wapumbavu kama hawa wanakukwamisha