Airtel modem e173 haisomi

Airtel modem e173 haisomi

ng'wanishi

Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
34
Reaction score
1
Ndugu zangu naombeni msaada kutoka kwa yeyeto mwenye kufamu juu ya hli,modem yangu nikiiplug tu kwenye mashine ina soma na sim inserted or niweka ambayo sio ya airtel. Sasa tatizo hli limeninyima internet wiki 2 sasa, sijui cha kufanya. Mbaya zaidi hata nikiiplug bila sim bado iitaleta ujumbe huohuo. Msaaada wenu ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom