Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 167
Ndg zangu speed ya airtel ikizidi kuwa ndogo na gharama zake za internet zikizidi kupanda kwa wa tanzania, WAKENYA (airtel kenya) wanaendelea kufurahia speed kubwa na gharama nafuu za internet ikiwa unlimited. Swali ndg zangu tufanye nini kukomesha huu uhaini wa airtel, je mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) inafaida gani kwa watanzania?