Dar-Dodoma nilipe sijui 325,000 wallah nitakufa. Shabiby na Kibinyiko zile za Alfajili ni Tshs 20,000/= halafu unapita Pwani Kibaha, Morogoro kisha Dodoma. Upo angani unapita wapi. Sikataki kupanda mwewe ila kwa route za humu ndani hapa kbs biashara ya kupunguziana K-Vant na mbuzi choma. Pandeni tu. Wengine tutakufa na IT na Mafusso kwa route za ndani. Ama magari ya Magazeti yale ya Posta.
Wangekua na bei rafiki Amini route za ndani wangeuza sana lakini bei zao ndio shimo lao na hapo sijui hua wanafikiria nini kupanga hizo gharama?