Tarehe 30-12-2023 nimepanda ndege yenu iliyokuwa inatoka Dar es Salaam kwenda Guangzhou iliyopewa ruti namba TC 402.
Button za viti ambazo utumika kuweka kiti kwa mkao anaoutaka mtumiaji nyingi zimeharibika.Hili linapelekea msafiri kutokuwa na uwezo wa kuweka kiti atakavyo na kupelekea kero kubwa kwa wasafiri waliopewa siti ambazo hizo button ni mbovu.
Vyoo vinatoa harufu,nunueni pafyumu za kupulizia kwenye vyoo vya ndege.
Nawashauri fungueni ukurasa hapa JF hili tuweze kuwa na fursa ya kuwashauri kwa minajili ya kuboresha huduma ya shirika letu.
Button za viti ambazo utumika kuweka kiti kwa mkao anaoutaka mtumiaji nyingi zimeharibika.Hili linapelekea msafiri kutokuwa na uwezo wa kuweka kiti atakavyo na kupelekea kero kubwa kwa wasafiri waliopewa siti ambazo hizo button ni mbovu.
Vyoo vinatoa harufu,nunueni pafyumu za kupulizia kwenye vyoo vya ndege.
Nawashauri fungueni ukurasa hapa JF hili tuweze kuwa na fursa ya kuwashauri kwa minajili ya kuboresha huduma ya shirika letu.