Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
Sio kweliMkuu ryan si liliporomoka ilo shirika qu
Sio kweliMkuu ryan si liliporomoka ilo shirika qu
Kabisa mkuu. TANESCO wako vizuri sana kwa sasa. Natamani sana pia tufungue tred kwa ajili ya haya mashirika ya maji. Siku hizi maji imekuwa ni kitendawili na kama anasa kwa sasa. Nao waige mfano wa TANESCO. Wanakuchaji hata kama maji hupati. Unit zao ni gharama kubwa. Zamani umeme walikuwa juu kuliko maji kwa gharama. Lakini siku hizi maji wako juu kuliko umemeMkuu uko sahihi. Wajifunze kwa shirika letu la Tanesco, kabla ya kuja na mpango wa makusudi wa kuongeza idadi ya wateja umeme ulikuwa ni anasa lakini baada ya kupanua wigo wa wateja wao ambapo sasa almost 80 percent of the households wana access ya umeme tumeona bei zikishuka na kuwa affordable kwa wengi. Atcl igeni hiyo itawasadia maana wengi tunatamani tupande ndege zenu kikwazo ni gharama.
Ni kweli; katika mazingira yetu inabidi Air Tanzania indeshe biashara yake kwa kuvutia sales volume kubwa kuliko kuangalia revenue per sale tu.Tumeanza kutoa huduma ya kusafirisha abiria wanaotumia ndege kusafiri, iwe ni ndani ya nchi au kimataifa, kwa miaka kadhaa sasa. Uzoefu tulionao umepelekea tuzifahamu changamoto nyingi kupitia feedback tunazozipata kutoka kwa wateja/abiria.
Miongoni mwa changamoto hizo tumejaribu kuzitolea elimu na ufafanuzi kwenye threads zetu zilizopita. Leo tumeona tugusie changamoto ya bei ya nauli.
Bei za Tiketi za #AirTanzania zimekuwa zikilalamikiwa na kufanya usafiri wa anga kuwa anasa badala ya huduma. Ni mara nyingi mno tumelazimika kutumia nguvu ya ziada kushawishi wateja kuona kwamba gharama hizi zinaendana na viwango vya huduma nzuri zitolewazo na ATC. Pia tunatumia kete ya kuwasihi watanzania kutanguliza uzalendo kwani Shirika hili bado linajipanga kibiashara, lakini inafikia hatua tunaishiwa sera!
Baadhi ya threads hapa JF ambazo zimeongelea gharama za ndege za ATCL kuwa sio rafiki na hazivumiliki ni pamoja na;
Watumiaji wa usafiri wa ndege tunajuta kwanini Serikali imenunua ndege zake
Kabla ya Mwaka 2015. Tanzania ilikuwa na mashirika ya ndege za ndani Makubwa manne. 1. Air Tanzania 2. Community air line 3. precision air. 4. Fast jet. Community air line ilirudi kwa kishindo mwaka 2008. Ililet ushindani mkubwa katika soko la ndege. Mpaka sisi Manyonge ( makapuku) tukaweza...www.jamiiforums.com
ATCL bado sana kwenye Safari za anga
Rais JPM anajitahidi kufufua shirika letu la ndege lakini namna linavyojiendesha ni tatizo. Tusipopiga kelele litakufa tena na juhudi za kulifufua zitakuwa zimehujumiwa. Muhula wa masomo China umemalizika. Wanafunzi waliohitimu wanarudi makwao. Nchi nyingi zinachukua wanafunzi wake kwa ndege...www.jamiiforums.com
Swali la Uzalendo: What is The Magic of The Same Route? Precision Air Full Flight, ATCL Half Empty
Wanabodi, Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa. Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo...www.jamiiforums.com
Kwa utafiti wetu ambao sio rasmi, tumegundua Watanzania wengi wanatamani kutumia usafiri huu lakini wanaogopa bei, hasa wale wenye kipato cha kawaida. Routes mpya za Chato na Arusha zilitia hamasa lakini bei zimewarudisha wengi wao nyuma baada ya kukutana na bei tata. Ni idadi kubwa ya watu ambayo ingeweza kulizalishia shirika faida na kurahisisha safari za masafa marefu zikiwemo za kutoka Dar kwenda Mwanza, Kagera, Kigoma n.k. na kinyume chake.
Tunafahamu, lengo la Serikali na Shirika ni kuhakikisha Ndege hizi zilizonunuliwa kwa wingi zinakuwa affordable kwa watanzania wanaofanya safari (ndani na nje ya nchi). Na sisi kwa uzoefu wetu na tabia za wateja tunaliona hili la bei kuwa kikwazo namba moja kinachosababisha hata rate ya wasafiri ku-book ndege hizi za ndani ikishuka au kushindwa kuongezeka katika kiwango kinachoridhisha.
Imefikia hatua zipo baadhi ya routes za ndani zina gharama ya juu zaidi kulinganisha na gharama za ndege kupitia mashirika mengine kwenda nje ya nchi. Hatuingilii mamlaka, tunajaribu tu kufikisha 'picha halisi' kutoka kwa watumiaji wa huduma na mtazamo wetu wadau wa sekta hii muhimu kwa maendeleo ya taifa.
Ni matarajio yetu wanaofanya maamuzi wataliangalia hili kwa ukaribu na kulifanyia kazi haraka. Wakishusha bei, tutasafirisha watanzania wengi popote pale kwa kweli na ndege hazitasafiri tupu, kwani wengi wapo tayari tatizo ni hilo tu- BEI!
Au abiria wazoefu na watarajiwa mnasemaje?
Mbona kutoka Kia to Dar nauli ni laki tatu
Nimeimiss fast jet,dar-mbeya elf 66,88,135000 nauli nilizowahi kusafiri na Fast jet.......kwasasa Ni Happy Nation,Sauli na Rungwe tu
Nauli za usafiri wa anga zilishaanza kushuka naturally kutokana na free market competition.Tena bila kuharibu service sana. Ndege fulani dekta binafsi walikuwa creative kwa kiasi chao, licha ya changamoto nyingi Tanzania.Tumeanza kutoa huduma ya kusafirisha abiria wanaotumia ndege kusafiri, iwe ni ndani ya nchi au kimataifa, kwa miaka kadhaa sasa. Uzoefu tulionao umepelekea tuzifahamu changamoto nyingi kupitia feedback tunazozipata kutoka kwa wateja/abiria.
Miongoni mwa changamoto hizo tumejaribu kuzitolea elimu na ufafanuzi kwenye threads zetu zilizopita. Leo tumeona tugusie changamoto ya bei ya nauli.
Bei za Tiketi za #AirTanzania zimekuwa zikilalamikiwa na kufanya usafiri wa anga kuwa anasa badala ya huduma. Ni mara nyingi mno tumelazimika kutumia nguvu ya ziada kushawishi wateja kuona kwamba gharama hizi zinaendana na viwango vya huduma nzuri zitolewazo na ATC. Pia tunatumia kete ya kuwasihi watanzania kutanguliza uzalendo kwani Shirika hili bado linajipanga kibiashara, lakini inafikia hatua tunaishiwa sera!
Baadhi ya threads hapa JF ambazo zimeongelea gharama za ndege za ATCL kuwa sio rafiki na hazivumiliki ni pamoja na;
Watumiaji wa usafiri wa ndege tunajuta kwanini Serikali imenunua ndege zake
Kabla ya Mwaka 2015. Tanzania ilikuwa na mashirika ya ndege za ndani Makubwa manne. 1. Air Tanzania 2. Community air line 3. precision air. 4. Fast jet. Community air line ilirudi kwa kishindo mwaka 2008. Ililet ushindani mkubwa katika soko la ndege. Mpaka sisi Manyonge ( makapuku) tukaweza...www.jamiiforums.com
ATCL bado sana kwenye Safari za anga
Rais JPM anajitahidi kufufua shirika letu la ndege lakini namna linavyojiendesha ni tatizo. Tusipopiga kelele litakufa tena na juhudi za kulifufua zitakuwa zimehujumiwa. Muhula wa masomo China umemalizika. Wanafunzi waliohitimu wanarudi makwao. Nchi nyingi zinachukua wanafunzi wake kwa ndege...www.jamiiforums.com
Swali la Uzalendo: What is The Magic of The Same Route? Precision Air Full Flight, ATCL Half Empty
Wanabodi, Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa. Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo...www.jamiiforums.com
Kwa utafiti wetu ambao sio rasmi, tumegundua Watanzania wengi wanatamani kutumia usafiri huu lakini wanaogopa bei, hasa wale wenye kipato cha kawaida. Routes mpya za Chato na Arusha zilitia hamasa lakini bei zimewarudisha wengi wao nyuma baada ya kukutana na bei tata. Ni idadi kubwa ya watu ambayo ingeweza kulizalishia shirika faida na kurahisisha safari za masafa marefu zikiwemo za kutoka Dar kwenda Mwanza, Kagera, Kigoma n.k. na kinyume chake.
Tunafahamu, lengo la Serikali na Shirika ni kuhakikisha Ndege hizi zilizonunuliwa kwa wingi zinakuwa affordable kwa watanzania wanaofanya safari (ndani na nje ya nchi). Na sisi kwa uzoefu wetu na tabia za wateja tunaliona hili la bei kuwa kikwazo namba moja kinachosababisha hata rate ya wasafiri ku-book ndege hizi za ndani ikishuka au kushindwa kuongezeka katika kiwango kinachoridhisha.
Imefikia hatua zipo baadhi ya routes za ndani zina gharama ya juu zaidi kulinganisha na gharama za ndege kupitia mashirika mengine kwenda nje ya nchi. Hatuingilii mamlaka, tunajaribu tu kufikisha 'picha halisi' kutoka kwa watumiaji wa huduma na mtazamo wetu wadau wa sekta hii muhimu kwa maendeleo ya taifa.
Ni matarajio yetu wanaofanya maamuzi wataliangalia hili kwa ukaribu na kulifanyia kazi haraka. Wakishusha bei, tutasafirisha watanzania wengi popote pale kwa kweli na ndege hazitasafiri tupu, kwani wengi wapo tayari tatizo ni hilo tu- BEI!
Au abiria wazoefu na watarajiwa mnasemaje?
Ndio mkuu. Sisi tunashirikiana na mashirika mbalimbali ya ndege katika kazi zetu.Mkuu nyie mnahusika na mashirika yote yote ya ndege?
Fastjet salute kwao. Watu tuli enjoy kwa kweli, unasafiri na familia nzima dar to mza 5persons nauli hata million haiishi, hiyo ni go and return, sijui hizo enzi zitarudi kweli? Sasa Ni mwendo wa mabasi tu.Fastjet walikuwa wabunifu sana kwenye maswala ya usafiri wa anga. Wale jamaa wangeachwa wangeteka soko la usafiri kwa Tz. Walikuwa na amsha amsha za kutosha,offer offer zao zilikuwa zinawafanya hata wengine wasiosafiri waamue kusafiri kwenda tu kutembea mahala. Zilikuwa zinatamanisha/zinakuvuta usafiri
Zitarudi mkuu,tena safari hii ndio itarudi kwa kasi. Tuliombee tu hili lidude life na litakufa kweli,kama linabeba watu wa4 kwa trip. Nawaombea Fastjet waje na jina jipya na wajisajiri upya ili kuondokana na kufanyiwa fitina tenaFastjet salute kwao. Watu tuli enjoy kwa kweli, unasafiri na familia nzima dar to mza 5persons nauli hata million haiishi, hiyo ni go and return, sijui hizo enzi zitarudi kweli? Sasa Ni mwendo wa mabasi tu.
Sawa mkuu. Nakuomba hawa jamaa msiwashtua. Ikiwezekana muwe mnawapanga kwamba tuko uchumi wa kati watu wana hela nyingi pandisha pandisha nauli. Abiria wakisafiri wanne waambieni ni upepo tu unapita,ili ku-cover hao hao waliopo wachache ni kuwapandishia nauli hata mara 3 yake. Maana hakuna jinsi sasaNdio mkuu. Sisi tunashirikiana na mashirika mbalimbali ya ndege katika kazi zetu.
Baadhi ya mashirika hayo ni ATCL, Etihad, Precision Air, KQ, Emirates, KLM, RwandAir, Fly Dubai, Turkish Airways, Qatar Airways na Egypt Air.
Karibu sana.
Okay, lkn pia kwa mazingira ya africa watatumbia operation cost ni ghali so itakuwa ngumu wao kushusha bei...Sio kweli
Hapana mkuu. Lengo letu ni kujaribu kufikisha mawazo na mtazamo wetu kama wadau katika sekta hii, ili kusaidia wasafiri ambao kimsingi ni wateja tu pia.Sawa mkuu. Nakuomba hawa jamaa msiwashtua. Ikiwezekana muwe mnawapanga kwamba tuko uchumi wa kati watu wana hela nyingi pandisha pandisha nauli. Abiria wakisafiri wanne waambieni ni upepo tu unapita,ili ku-cover hao hao waliopo wachache ni kuwapandishia nauli hata mara 3 yake. Maana hakuna jinsi sasa
Hii route nilishapanda fastjet kwa 42500 na kiwango cha juu nilicholipa ni 154000
Mimi nililipa, 42500, 66000, 94000 na 154000 one wayNimeimiss fast jet,dar-mbeya elf 66,88,135000 nauli nilizowahi kusafiri na Fast jet.......kwasasa Ni Happy Nation,Sauli na Rungwe tu
Washauri waweke tiketi hata za miezi mitatu mbele, nalipa january napanda march mwishoni, kama nauli ni 340000 mimi nilipe 120000, nipo nchi moja ya asia huku ndege local sio anasaNdio mkuu. Sisi tunashirikiana na mashirika mbalimbali ya ndege katika kazi zetu.
Baadhi ya mashirika hayo ni ATCL, Etihad, Precision Air, KQ, Emirates, KLM, RwandAir, Fly Dubai, Turkish Airways, Qatar Airways na Egypt Air.
Karibu sana.
Nimekuwa nikisema siku nyingi kwamba consumer advocacy groups are as important as political parties, if not more.
Na katika vitu ambavyo havipo, au havipo active Tanzania, ni hizi groups.
Washauri waweke tiketi hata za miezi mitatu mbele, nalipa january napanda march mwishoni, kama nauli ni 340000 mimi nilipe 120000, nipo nchi moja ya asia huku ndege local sio anasa