AIR MSAE: Mnalikumbuka hili basi?

AIR MSAE: Mnalikumbuka hili basi?

dah, mbona sioni picha ya Simba akiruka? nilipanda sana hili
 
Hii kampuni baada ya kuwa chinja chinja wakabadili jina la kampuni kwasababu watu walikuwa wanayakimbia haya mabasi saizi wanajiita Kilimanjaro Express.ukipanda kilimanjaro ujue umepanda air masae


Air Msae ni Metro na si Kilimanjaro.
 
Hii kampuni baada ya kuwa chinja chinja wakabadili jina la kampuni kwasababu watu walikuwa wanayakimbia haya mabasi saizi wanajiita Kilimanjaro Express.ukipanda kilimanjaro ujue umepanda air masae
Come on dude, no proofs no right to conclude. Kwamba lilibadili jina na kuwa Kilimanjaro sijui umelitoa wapi? Manake Kilimanjaro Express lilikuwepo wakati Air Msae Co. Ikifanya kazi. 2002/2003 if I'm not mistaken Air Msae ilipata ajali na kuua about 70 passengers.
 
Mkuu kwa safari za Lindi na Mtwara, Buti la Zungu ndio gari la uhakika...


ilikuwa emergence kaaachwa na basi la asubuh, kuna basi inaitwa saadia inatoka lindi saa kumi na mbili asubuhi inaenda na kurudi lindi. kukawa hakuna ujanja zaidi ya najimnisa ila ina rangi ya happy nation ndio iliponiroga kwan nilikumbuka happy nation voice of manka ya kwenda kwetu nyanda za juu kusini nikajua yapo sawa kumbe bomu.

kuhusu buti ni zuri na pia kuna maning nice, mwana wa mwanza, nayo ni mazuri
 
mtani!
ahhahahahha we acha tu
umenikumbusha mbali af umegonga ikulu ile mbaya!lol
 
Hii kampuni baada ya kuwa chinja chinja wakabadili jina la kampuni kwasababu watu walikuwa wanayakimbia haya mabasi saizi wanajiita Kilimanjaro Express.ukipanda kilimanjaro ujue umepanda air masae
Mkuu umeongopa. Msae ni wa rombo na sawaya wa kilimanjaro ni huko marangu.
 
Back
Top Bottom