Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,300
- 108,331
- Thread starter
- #21
Poleni mkuu...ila hivi ile ajali yao iliyomaliza zaidi ya watu 20 nadhani ilitokea mwaka 1999....
Maana nakumbuka baada ya ile ajali basi mimi ndio nikawa napanda sana haya mabasi nikiwa na imani hayawezi tena kupata ajali...
Maana nakumbuka baada ya ile ajali basi mimi ndio nikawa napanda sana haya mabasi nikiwa na imani hayawezi tena kupata ajali...
nalikumbuka sana mkuu.
na ni gari ambalo familia yetu haiwezi kulisahau kamwe..
Kwenye ajali ya 1995 tulimpoteza mjomba wetu mpendwa, Jaspert..(R.I.P)..