nalikumbuka sana mkuu.
na ni gari ambalo familia yetu haiwezi kulisahau kamwe..
Kwenye ajali ya 1995 tulimpoteza mjomba wetu mpendwa, Jaspert..(R.I.P)..
Hii kampuni baada ya kuwa chinja chinja wakabadili jina la kampuni kwasababu watu walikuwa wanayakimbia haya mabasi saizi wanajiita Kilimanjaro Express.ukipanda kilimanjaro ujue umepanda air masae
aiseeeeee babayangu umenikumbusha mbali sana nilikuwa nalingoja njiaa panda ya himo kuja nalo dar
aiseeee babayangu naunga mkono hoja ni kweli kabisaUkilikosa Air Msae unapanda Dar Express maana ndio yalikuwa yanaonekana magari ya wajanja those days
Mkuu Kilimanjaro Express zamani ilijulikana kama Sawaya, sio Air Msae.Hii kampuni baada ya kuwa chinja chinja wakabadili jina la kampuni kwasababu watu walikuwa wanayakimbia haya mabasi saizi wanajiita Kilimanjaro Express.ukipanda kilimanjaro ujue umepanda air masae
Ukilikosa Air Msae unapanda Dar Express maana ndio yalikuwa yanaonekana magari ya wajanja those days
Bila kusahau Masama, Mapande, na Royal smai,na Bedui,na Fresh ya shamba.duh kitambo!
Hii kampuni baada ya kuwa chinja chinja wakabadili jina la kampuni kwasababu watu walikuwa wanayakimbia haya mabasi saizi wanajiita Kilimanjaro Express.ukipanda kilimanjaro ujue umepanda air masae
Sio kweli Msae kwa sasa inaitwa Metro Coach...office zao ni pale karibu na Shoprite kamata. Kilimanjaro ni kitu tofauti mazee. Acha upotoshaji
aiseeee babayangu naunga mkono hoja ni kweli kabisa