Aina za wauaji na mauaji

[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbuka kuna vigezo na masharti pia

mshana jr ,
Mkuu
Duuuuuuh.
Nitajitoa mhanga kwa kutoa maelezo huko ofisini.
Maana Mr Slim, a.k.a Kamega anataka kutupotezea nchi kwa kuja huku kila siku huku tukimuangalia tu.

Inabidi sasa tufanye kama ilivyokuwa kipindi cha Hayati Mwl Nyerere, vijana tulilinda nchi.
 
Naanda safari ya kuja hapo East Africa ili nimshughulikie Mr. Slim a.k.a Ngongoti yaani Shingo feni ,,, Dictator kamega.
 
Kanuni ya ngamia jangwani... Hakaribishwi hemani kujipoza na jua na joto kali la jangwani... Ukifanya hivyo ataanza na kichwa kisha atataka kuingiza na mwili wote
 
mshana,
mbona ''watu wasiojulikana" hawapo katika orodha yako?.
 
mshana,
mbona ''watu wasiojulikana" hawapo katika orodha yako?.
WALE WATU WASIOJULIKA WALIWAHI KUJIULIZA KUWA IPO SIKU NAO PIA WANAWEZA. KUDHURIKA/KUUAWA NA WATU WASIOJULIKANA MARA BAADA YA KUMALIZA KAZI?

AINA YA KUTOKUAMINIANA KWA AINA WATU HAWA WASIOJULIKAVA MARA NYINGI HATIMA YAO HUWA YA MASHAKA SANA. KUNA MASHIRIKA YA SIRI YA KIJASUSI YAMEKUWA NA TABIA YA KUWADHURU. WALE WANAOWATUMA MARA WAMALIZAPO KAZI WALIOTUMWA.

JE, HAWA WAPO KUNDI LIPI?
 
Bado wanaingia kundi lile lile la licensed to kill... To assassinate
Yaani mamlaka ndio zinakupa maagizo
 
Naanda safari ya kuja hapo East Africa ili nimshughulikie Mr. Slim a.k.a Ngongoti yaani Shingo feni ,,, Dictator kamega.
Duuu angalia asi kushughulikie kabla hujafika huko East Africa
 
Naona kama vile namba moja na mbili ndo main types.. Hizo nyengine zinaingia aidha kwenye namba moja or mbili.
 
kaka mshana jr nakuomba inbox tafadhari kuna uzi ule wa meditation na ule somo kuhusu malango bila kusahau jicho la tatu.kuna jambo kubwa sana limenitokea jana hatari sana niko njia panda.
 
kaka mshana jr nakuomba inbox tafadhari kuna uzi ule wa meditation na ule somo kuhusu malango bila kusahau jicho la tatu.kuna jambo kubwa sana limenitokea jana hatari sana niko njia panda.
Pouwa karibu bila shaka
 
kaka mshana jr nakuomba inbox tafadhari kuna uzi ule wa meditation na ule somo kuhusu malango bila kusahau jicho la tatu.kuna jambo kubwa sana limenitokea jana hatari sana niko njia panda.
Pouwa karibu bila shaka
 
kaka mshana jr nakuomba inbox tafadhari kuna uzi ule wa meditation na ule somo kuhusu malango bila kusahau jicho la tatu.kuna jambo kubwa sana limenitokea jana hatari sana niko njia panda.
Pouwa karibu bila shaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…