Mshana Jr katika ubora wako wk hii nlikukumbuka sana nkasema hyu jamaa ambaye thread zake huwa nazipenda Mbona sizioni au bado anakula mwaka mpya. Nmefurahi umerudi tena karbu mkuu na pia ujue unavyokaa kimya muda mrefu kuna watu wanahuzunika hawapati brain wash
siasa inanipoteza sana najitahidi kujinasua kule lakini najikuta nashindwa

Mshana Jr katika ubora wako wk hii nlikukumbuka sana nkasema hyu jamaa ambaye thread zake huwa nazipenda Mbona sizioni au bado anakula mwaka mpya. Nmefurahi umerudi tena karbu mkuu na pia ujue unavyokaa kimya muda mrefu kuna watu wanahuzunika hawapati brain wash
siasa inanipoteza sana najitahidi kujinasua kule lakini najikuta nashindwa

Ni Nani aliyewapa watawala haki ya kuuawa raia wao? (hasa wale wanao ikosoa mamlaka?)Usiende mbali
hapana ilikuwa katavi, sehemu inaitwa inyonga kisa ilikuwa wivu wa mapenzi jamaa akakodi watu toka tabora wakamuua huyo jamaa. ila walikamatwaHiki kisa nakumbuka ni cha 2013 mwenyekiti wa kijiji kimoja huko Sumbawanga.jamaa alikuwa na roho mbaya balaa alimkata mhanga wake kichwa na pu*mb* akenda kuviinjika jikoni kwenye maji ya ugali aliyoyaweka mkewe marehemu kisha akatembea mbele.noma sana!!!
Khaa mshana jamani unatutisha
wewe ni mchawi..?Uchawi![]()
![]()
![]()
Unavifamu vipi Kwa maana unafahumu vitu vingino then uko deeply sanaHivi kwani mimi siwezi kuwa source?