Aina za majini na kazi zake

Aina za majini na kazi zake

Ni mule mule kwakuwa ile nguvu ya kisomo hutokana na majini
Nb; kuna kisomo cha albadili/albadiri na kuna jini la albadiri ambalo hilo huua moja kwa moja lakini kisomo cha albadiri si lazima ufe unaweza kuchanganyikiwa na kuwa chizi au kichaa
Kwa hiyo kuisoma albadili ni kulipunga hilo jini albadili kwa maana ya kulituma kwenda huko wanakolituma? kama ndivyo huyo ni mungu wao Alla au shetani?
 
Hayo majini kwenye huo ulimwengu wa roho yanaonekana kama inavyoonekana kwenye picha au?
 
Hahhahahaaaa ya jini kuitwa chooni ilikuwa kali ya mwaka jini huishi popote ulimwenguni kuna uchambuzi mzuri sana kwenye ile post nyingine kauweka Safari _ni_safari ile post ya majini hupenda heshima
Kaelezea kwa undani maisha yao vyakula vyao na uzazi wao ngoja takutag uende
Poa kaka ngoja ni icheki.
 
Hahhahahaaaa ya jini kuitwa chooni ilikuwa kali ya mwaka jini huishi popote ulimwenguni kuna uchambuzi mzuri sana kwenye ile post nyingine kauweka Safari _ni_safari ile post ya majini hupenda heshima
Kaelezea kwa undani maisha yao vyakula vyao na uzazi wao ngoja takutag uende
Na mie nitag lol
 
Jini la 15 lipo kwa Nchi na Wa Tz wote,jinsi ya kulitoa hili jini,kwanza ni kutambua dalili zake na ujue kuwa tayari unalo rudia kusoma uzi then fika pale jini namba 15.
 
Mshana unaongea vitu vya rohoni sana na tulip rohoni tunakuelewa wenzio sana tena sana ila tu. Kitu kimoja naomba ujiongeze unapowatea watu mada kama hizi ..kwa mfano unayataja sina ya majini na kazi zao lakini hujawapa solution nn cha kufanya kama huyo jini ni anayezuia biashara humu ndani wapo wafanya biashara wengi tuuuu sasa kwa ambaye analo hilo jini afanye nini ili limuache na awe salama......
 
Mshana unaongea vitu vya rohoni sana na tulip rohoni tunakuelewa wenzio sana tena sana ila tu. Kitu kimoja naomba ujiongeze unapowatea watu mada kama hizi ..kwa mfano unayataja sina ya majini na kazi zao lakini hujawapa solution nn cha kufanya kama huyo jini ni anayezuia biashara humu ndani wapo wafanya biashara wengi tuuuu sasa kwa ambaye analo hilo jini afanye nini ili limuache na awe salama......
Asante kwa pongezi kwakweli sijajua dawa nyingine ya majini zaidi ya kusimama na Mungu na kuwakemea
 
Mshanajr kuna watu wanasema ukipiga[emoji241] hii kitu majini ayakufati kuna Ukweli hapo?????
Pia nilipata habari kuwa ukiwa mfugaji wa hiyo kitu majini hayakusogelei, mkuu Mshana Jr maelezo kidogo tafadhali! Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom