Aina za majini na kazi zake

Aina za majini na kazi zake

kwa blahblah tu hujambo,albadiri ndiyo nini?..sema ahlul badr,majina ya maswahaba wa mtume waliokufa vita vya badr,leo imekua aina ya jini!!?
Hapa inabidi tukafungue vitabu na sio kubishana tu, mana hapo mshana amemtaja AL BADIRI NA KILE KISOMO KINAITWA AHLUL BADR Kama ulivyoelezea, sasa upo uwezekano wa hivi vitu ni 2 tofauti japo nguvu yake ikawa ni moja au inafanana. Tafuta Sheikh/Maalim akufafanulie kwa upana Zaidi kama hivi vitu vinahusiana au ni vitu 2 tofauti na kama vinahusiana vinahusiana vipi. kutoa maneno ya kashfa sio kujifunza.
 
jini albadir ndiyo kakwambia nina miaka 28!?..kakudanganya,pia umri sio kujua,unaweza ukaisha miaka alfu lakin ukafa kichwan hakuna cha maana afadhal ya tikiti maji
Haya hebu sema wako una miaka mingapi usipaniki nataka kukufundisha maisha
 
Hapa inabidi tukafungue vitabu na sio kubishana tu, mana hapo mshana amemtaja AL BADIRI NA KILE KISOMO KINAITWA AHLUL BADR Kama ulivyoelezea, sasa upo uwezekano wa hivi vitu ni 2 tofauti japo nguvu yake ikawa ni moja au inafanana. Tafuta Sheikh/Maalim akufafanulie kwa upana Zaidi kama hivi vitu vinahusiana au ni vitu 2 tofauti na kama vinahusiana vinahusiana vipi. kutoa maneno ya kashfa sio kujifunza.
ni kitu kimoja ila matamshi yanatofautiana tu,ukisikia mtu kasema albadir ambalo ndo limeenea mtaan ujue mtu huyo hakupta sana madrasa,ila hyo dua ambayo imegeuzwa shirk siku hz inaitwa ahlul badr
 
Hapa inabidi tukafungue vitabu na sio kubishana tu, mana hapo mshana amemtaja AL BADIRI NA KILE KISOMO KINAITWA AHLUL BADR Kama ulivyoelezea, sasa upo uwezekano wa hivi vitu ni 2 tofauti japo nguvu yake ikawa ni moja au inafanana. Tafuta Sheikh/Maalim akufafanulie kwa upana Zaidi kama hivi vitu vinahusiana au ni vitu 2 tofauti na kama vinahusiana vinahusiana vipi. kutoa maneno ya kashfa sio kujifunza.
Bado anahitaji kukua na kujifunza zaidi watu kama hawa huwa nawaomba kukutana nao live ili tufahamiane tuongee ana kwa ana tuelimishane lakini wengi huwa wananikimbia
 
Haya hebu sema wako una miaka mingapi usipaniki nataka kukufundisha maisha
mtu anaetoka hadharani na kuzungumzia jambo asilolijua kwa kinywa kipana na kifua wazi..hawezi kumfundisha mtu kitu,sababu busara hana
 
Bado anahitaji kukua na kujifunza zaidi watu kama hawa huwa nawaomba kukutana nao live ili tufahamiane tuongee ana kwa ana tuelimishane lakini wengi huwa wananikimbia
tukutane ana kwa ana ili iweje?..wewe utanielimisha nini?!!..mada zako na comments humu znaonesha wazi wewe ni mtu wa upeo gani..
 
Hakuna haja tena ya kutoa tafsiri ya majini kwakuwa tayari tumeshalidajili hili kwenye post iliyopita kwamba majini ni viumbe roho waliofukuzwa toka mbinguni na kutupwa ulimwengu wa giza.

Mada hii ni maalum kwa ajili ya kutambua aina za majini na kazi zake
Kuna wakati katika jamii unaweza kumshangaa mtu au hata kugombana naye kutokana na tabia zake na mambo yake huyu si wa kulaumu sana saa nyingine si yeye bali ni jini, hata hapa JF tunao wengi tuu.

Kimsimgi wapo majini tofauti tofauti zaidi ya 60 lakini kazi zao kwa sehemu kubwa zinaingiliana hivyo nitaweka baadhi tu ambayo kwa kiasi kikubwa ndio hubeba mambo mengi fuatana nami.

1. SUBIANI - hili ni jini linalosababisha ajali na lenye kuzuia hedhi kwa mwanamke, lina penda sana damu hasa hiyo ya hedhi.

View attachment 342303

2.MURAFARI- hili ni jini la kuzuia mafanikio ya kimaisha kielimu na hata kipato, ukitupiwa hili jini utahangaika sana na maisha.

3.LATIFU- jini la mateso ufukara na matumizi ya hovyo unakuwa ni mtumwa wa kupata kupoteza na kutumia bila tija.

4.JAHARI-jini jizi la biashara, unafanya Sana biashara lakini huoni ustawi wala mafanikio yoyote.

View attachment 342305

5.HASINANI- Jini la fujo ulevi wa kila aina bhangi sigara madawa pombe nk

6.JUBE- Jini la utasa, hili unaweza kutupiwa tu na mbaya wako au ukiwa mtoa mimba au mpiga puchu mahiri.

7.RUYATI- ndoto mbaya, ukiacha ndoto maono au ndoto ujumbe , hizi ndoto za kutisha husababishwa na jini ruyati.

8.TAJARUNI-hili ni la utajiri wa masharti ya kutoa kafara la ndugu na kufanya ngono na mzazi au mwanao.

9. WAIDADAT- jini linalomfanya mwanaume aige mambo yote ya kike kuanzia tabia mpaka mavazi.

View attachment 342307

10. ALIBADIRI- Ukitupiwa hili kwa sababu yoyote ile hasa kutenda uovu huponi.

11.ANZURA -kuzuia ndoa hasa kwa wanawake, utakuta binti mzuri kakamilika kila idara lakini anaishia kuposwa tuu.

12.MAIMUNA- jini mfarakano wa kuleta magomvi kwenye ndoa hatimaye kuvunjika.

13 . MAKATA- Jini makata ni noma hili likiingia kwenye familia au ukoo basi vifo vitafululiza mpaka mbaki wachache kabisa.

View attachment 342306

14.TARIK- jini hili hufarakanisha marafiki watu wanaofanya biashara pamoja kwenye vyama nk nk..likishaingia mahali hili lazima kinuke.

15. JINI WIVU KIJICHO NA ROHO YA KWANINI-hili bwana hili popote litakapoona new post ni mtu fulani sikilizia mashambulizi yatakayofuata.

[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Katika mambo yote hayo hakuna jini lolote linalofaidika na chochote bali kumletea shida mwanadamu ili afarakane na mola wake
Kumbuka kuna majini ya kutupiwa kutumwa na yale yanayofanya kazi yenyewe kwa utashi wao.

==========================
NB: Picha zimewekwa ili kuleta uhalisia zaidi ingwa zinaweza zilihusiane moja kwa moja na Majina ya viumbe hawa.
Kutafuta kujua majini na kazi zake ni kupoteza muda. Majini yote ni pepo wachafu ambao mwanzoni walikuwa malaika mbinguni na baada ya kuasi walifukuzwa. Wana karama ya uongo na kila aina ya uovu. Ni watesaji kama kiongozi wao jini kuu Shetani. Hao hawamwogopi mwanadamu ye yote isipokuwa yule aliye na Roho wa Mungu kwa kuwa akimkemea ni lazima aondoke. Do something productive other than discussing evil spirits.
 
tukutane ana kwa ana ili iweje?..wewe utanielimisha nini?!!..mada zako na comments humu znaonesha wazi wewe ni mtu wa upeo gani..
Huhitaji kuniogopa kiasi hiki
a326e2adfc9fc665f0ca833fe03d1b51.jpg
 
mtu anaetoka hadharani na kuzungumzia jambo asilolijua kwa kinywa kipana na kifua wazi..hawezi kumfundisha mtu kitu,sababu busara hana
Wacha wee kuongea unajua ni rahisi sana kuliko kumaanisha unachoongea
....ninachoweza kukuambia tu ni kitu kimoja kuwa unahitaji kujifunza zaidi uelewa wako uongezeke bado una safari ndefu Sana kwenye haya mambo
Kwa mfano kwenye majini yote niliyotaja hujui hata moja zaidi ya hili la albadiri na ni kwakuwa unadhani Al albadiri haiweZi kuwa kitu kingine zaidi ya kisomo
Ngoja nikufunulie kidogo upate maarifa
Kama umeona hapo kuna jini makata lakini pia kule Tanga kuna dawa ya kienyeji inaitwa makata, sasa kwa mtu wa kaliba yako anaweza kubishana kwa mbwembwe za ujuaji pori kuwa makata ni jini tu na haiweZi kuwa kitu kingine chochote
 
Kutafuta kujua majini na kazi zake ni kupoteza muda. Majini yote ni pepo wachafu ambao mwanzoni walikuwa malaika mbinguni na baada ya kuasi walifukuzwa. Wana karama ya uongo na kila aina ya uovu. Ni watesaji kama kiongozi wao jini kuu Shetani. Hao hawamwogopi mwanadamu ye yote isipokuwa yule aliye na Roho wa Mungu kwa kuwa akimkemea ni lazima aondoke. Do something productive other than discussing evil spirits.
And still you are on the same truck discussing them[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Hakuna ukweli YESU alimtoa PEPO jamaa 1 akayaamuru yaingie kwa Nguruwe elf 2 wakafia Baharini....sasa kama elf 2 walikufa sababu ya kuingiwa na mapepo nivipi wewe unaekula kilo1
We uliona? Acha uwongo wewe!!!!
 
Kutafuta kujua majini na kazi zake ni kupoteza muda. Majini yote ni pepo wachafu ambao mwanzoni walikuwa malaika mbinguni na baada ya kuasi walifukuzwa. Wana karama ya uongo na kila aina ya uovu. Ni watesaji kama kiongozi wao jini kuu Shetani. Hao hawamwogopi mwanadamu ye yote isipokuwa yule aliye na Roho wa Mungu kwa kuwa akimkemea ni lazima aondoke. Do something productive other than discussing evil spirits.
Nadhani haya anayofanya ni elimu nzuri na si dhambi kuijua na ndio maana Mwenyezimungu katika kitabu chake kitukufu akatuletea sura nzima sura til JINN ili tuwajue, vizuri tabia zao na makosa n.k., hata wewe ulijua kama walilaaniwa sabab Qur'an imekwambia, kwahiyo kuwafahamu kwa undani si dhambi na wala hakuna ubaya, Na aliekwambia kama wote wachafu ni nani?? TAFUTA SHEIKH AKUFAFANULIE Kuna aya inasema "Sikuwaumba majini na watu ila tu waniabudu" kwa taarifa yako kuna majini wanamuabudu Mwenyezimungu na kumuogopa na wapo majini wataingia motoni na wa peponi watakuwepo, NA NI NANI AMEKUDANGANYA KUNA SHETANI, kuhusu ushetani hata binadamu anaweza kuwa shetani kuna mipaka sisi binadam na majini tukivuka tunaingia kweney ushetani, shetani si kiumbe kama uanvyodhani, SHETANI HATA WEWE WAWEZA INGIA KWENYE USHETANI KUTOKANA NA MAASWI UTAKAYOFANYA, Jini ni kiumbe kama sisi ameumbwa na atapotea, na wataingia motoni na wapo wa peponi, Enzi za Mtume Mohammed (S.A.W) Alikuwa anakaa akiwafundisha Qur'an na kuwaslimisha (TAFUTA SHEIKH UKAMUULIZE KUHUSU HILI) Na je Nabii Sulyeiman je umati wake ulikuwa ni wakina nani? Na alipewa uwezo gani? Hii ni Elmu kama ELIMU NYINGINE UKIONA HAINA MANUFAA KWAKO, IPOTEZEE, ILA SIDHANI KAMA KUNA UBAYA UKAWAJUA ZAIDI TABIA ZAO HAO WA UPANDE WA PILI, MANA SI DHAMBI KUWAJUA.
 
mtu anaetoka hadharani na kuzungumzia jambo asilolijua kwa kinywa kipana na kifua wazi..hawezi kumfundisha mtu kitu,sababu busara hana
Kama anajiamini anachoongea basi anajua nimeona pote ulipopita unagombana na albadir tuu vingine vyote huvujui
 
Majini ni fixed false idies ( attitudes ) ambayo ipo ndani ya ubongo wa mwanadamu.Hakuna binadanu yeyote duniani anaeweza kumwona na kumgusa jini wala jini haliwezi kuishi ndani mwili wa binadamu kwa sababu hakuna "hollow space"yaani uwazi ambao utaruhusu liingie na kukaa ndani ya mwili wa binadamu.Watu wote wanaopatwa na hali hiyo ya kuwa na majini huwa wamepatwa na magonjwa ya akili na moja ya brain center hua imeathirika.Wagonjwa au watu wanaopandisha mashetani au mapepo hua wamepata tatizo la kiakili lijulikanalo kama "double man personallity psychosis." Halafu kuna wale wagonjwa wanaona vitu au viumbe vinawajia mbele na wakati mwingine wanaweza kukimbia na kupiga kelele wakihofia viumbe wanaowana mbele yao.Wakati wakifikwa na hali hiyo watu wengine waliokuwa karibu nae hawaoni kitu chochote.Kwa kifupi mgonjwa huyu nae hua amepatwa na matatizo kwenye ubongo wake na hiyo hali kiutaalamu inaitwa " hallucinations "Kwenye ubongo kuna brain centers nyingi na kila moja inakuwa na kazi yake.Majini saba yanasemwa yaweza kuwa ni moja tu ya brain centers ambazo hutafsiriwa na watu ambao hawana elimu ya jinsi mwili wa binadamu ulivyo yaani " anatomy "na jinsi mwili huo unavyofanya kazi kikawaida "physiology."Pia watu hao hua hawana elimu ya ni jinsi gani magonjwa yanamwingia binadamu na kuleta shida yaani "pathology."Kutolea mifano kwenye vitabu vitakatifu vya biblia na quran kuwa Yesu au Mtume alikemea au kukimbiza mapepo kutoka kwenye miili ya watu hakuwezi kuwa kigezo kuwa kweli majini au mapepo yanaweza kukaa na kutulia tuli ndani ya kichwa cha binadamu wakati majini yenyewe ni makubwa kama huyo mtu !!.Vifungu vya Quran au Biblia ni vitabu vinavyosimulia maisha ya watu wakale (mambo ya walawi) ambao walikuwa ni binadamu kama sisi na pia walipungukiwa na elimu ya sayansi ya binadamu kama tulivyo sisi.Hizi attitudes za mashekhe kutafisiri aina ya majini ni POROJO za duniani tu.
 
Majini ni fixed false idies ( attitudes ) ambayo ipo ndani ya ubongo wa mwanadamu.Hakuna binadanu yeyote duniani anaeweza kumwona na kumgusa jini wala jini haliwezi kuishi ndani mwili wa binadamu kwa sababu hakuna "hollow space"yaani uwazi ambao utaruhusu liingie na kukaa ndani ya mwili wa binadamu.Watu wote wanaopatwa na hali hiyo ya kuwa na majini huwa wamepatwa na magonjwa ya akili na moja ya brain center hua imeathirika.Wagonjwa au watu wanaopandisha mashetani au mapepo hua wamepata tatizo la kiakili lijulikanalo kama "double man personallity psychosis." Halafu kuna wale wagonjwa wanaona vitu au viumbe vinawajia mbele na wakati mwingine wanaweza kukimbia na kupiga kelele wakihofia viumbe wanaowana mbele yao.Wakati wakifikwa na hali hiyo watu wengine waliokuwa karibu nae hawaoni kitu chochote.Kwa kifupi mgonjwa huyu nae hua amepatwa na matatizo kwenye ubongo wake na hiyo hali kiutaalamu inaitwa " hallucinations "Kwenye ubongo kuna brain centers nyingi na kila moja inakuwa na kazi yake.Majini saba yanasemwa yaweza kuwa ni moja tu ya brain centers ambazo hutafsiriwa na watu ambao hawana elimu ya jinsi mwili wa binadamu ulivyo yaani " anatomy "na jinsi mwili huo unavyofanya kazi kikawaida "physiology."Pia watu hao hua hawana elimu ya ni jinsi gani magonjwa yanamwingia binadamu na kuleta shida yaani "pathology."Kutolea mifano kwenye vitabu vitakatifu vya biblia na quran kuwa Yesu au Mtume alikemea au kukimbiza mapepo kutoka kwenye miili ya watu hakuwezi kuwa kigezo kuwa kweli majini au mapepo yanaweza kukaa na kutulia tuli ndani ya kichwa cha binadamu wakati majini yenyewe ni makubwa kama huyo mtu !!.Vifungu vya Quran au Biblia ni vitabu vinavyosimulia maisha ya watu wakale (mambo ya walawi) ambao walikuwa ni binadamu kama sisi na pia walipungukiwa na elimu ya sayansi ya binadamu kama tulivyo sisi.Hizi attitudes za mashekhe kutafisiri aina ya majini ni POROJO za duniani tu.
Tyupa maelezo yako kisayansi yanajitosheleza kabisa na sina shida kabisa na human anatomy na yote uliyoyatolea ufafanuzi murua
Lakini kwenye ulimwengu wa roho hali ni tofauti kabisa kwa mfano umelifananisha jini kuwa nalo ni kubwa kama mwanadamu hii si kweli kwakuwa jini ni roho na jini huingia kwenye umbo lolote au huweza kujigeuza na kuvaa umbo lolote yaani kujitengenezea mwili, hili la namna hii haliwezi kumuingia mtu kwakuwa tayari nalo ni 'mtu' lakini yale ambayo bado ni roho huweza kuingia ndani ya ufahamu wa mtu na kufanya yake
 
Ukweli utabaki pale pale ,hakuna binadamu yeyote duniani anaeweza kum ~isolate na kum ~visualize jini au mapepo hata wewe huwezi kamwe.Roho ni fikra kusadikika au mawazo huwezi kwenda maabara yeyote ukatoa roho na kuonyesha.Vivyo hivyo huwezi kwenda maabara ukalitoa jini au mapepo na ukaonesha kwa macho au kwa darubini kali (electronic microscopy.) Roho au majini ni imani tena imani inayokaa kama attitude (Fixed false indies ) Hewa kama oxygen na hydrogen huwezi kuziona kwa macho lakini ukienda maabara utazibaini na ukiziunganisha pamoja unapata maji papo hapo na utayaona kwa macho na ukitaka unayanywa.Wanasayansi waliobobea kama Wamarekani hawaishi kwa imani ya majini kwa sababu vitu hivyo havipo " physically na spiritually."Lakini watu kama Waarabu kwa kiwango kikubwa wanaamini mambo ya majini kwa sababu ya elimu ndogo juu ya sayansi kwa ujumla.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom