RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,444
Ndo linaitwa hilo jini kuja Kutenda Haki hiyo wanasmaAL BADIRI NI JINI? Mbona kuna kisomo kinaitwa Al badiri husomewa wezi wanaoiba au hata kama mmezuishana mambo makubwa inasomwa hiyo albadiri na aliemuongo ndio inamshika na kumdhuru aidha kwa kufa au kuwa kichaa...hebu nifafanulie.
Hebu nitajie jina la kikristu unalolojua 