Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,275
- 832,281
- Thread starter
- #21
Najua njia moja tu ya kuyakemea kwa roho na kwelizipi ni njia za kuya deactivate
Sent from my SM-N910X using JamiiForums mobile app
Najua njia moja tu ya kuyakemea kwa roho na kwelizipi ni njia za kuya deactivate
Baadhi ya wasomaji wa uzi ambao hawajapatwa na janga hili wanaweza wasiamini unachokieleza hapa. Lakini kifupi kama wanaamini Mungu yupo basi waamini ushetani upo. Wapo watu wengi wanapata mateso na majini haya na mengi yao ni yakutupiwa. Sasa ebu tuambie njia zipi za mtu aliyetupiwa majini anaweza kujitoa na kuwa huru?zipi ni njia za kuya deactivate
Ni mule mule kwakuwa ile nguvu ya kisomo hutokana na majiniAL BADIRI NI JINI? Mbona kuna kisomo kinaitwa Al badiri husomewa wezi wanaoiba au hata kama mmezuishana mambo makubwa inasomwa hiyo albadiri na aliemuongo ndio inamshika na kumdhuru aidha kwa kufa au kuwa kichaa...hebu nifafanulie.