Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hakika huyu kamanda Mponjoli ndiye aina ya mapolis wanao hitajika hapa nchini.
Hana cha kuogopa rangi za chama wala diwani wa chama anacho hitaji ni haki itendeke.
Kwa msimamo wa huyu kamanda sijui kama bado yupo au asha staafu.
Msikilizeni na mtupatie mrejesho yuko wapi kwa sasa.
Hana cha kuogopa rangi za chama wala diwani wa chama anacho hitaji ni haki itendeke.
Kwa msimamo wa huyu kamanda sijui kama bado yupo au asha staafu.
Msikilizeni na mtupatie mrejesho yuko wapi kwa sasa.