Aina ipi ya sabufa ni nzuri

Aina ipi ya sabufa ni nzuri

Mimi nili nunua Geepas Manual Sub-woofer Kule Algeria ni ya ukweli kaka kitu kinapika Masantula ya kufa mtu Mwaka wa 5 huu .
Bahati mbaya sana sina picture yake hapa ila inafanana kidogo na hii ila yenyewe fupi na nene alafu ina miguu kwa chini, nikirudi home nitachukua screen kwa simu nikuwekee ujaribu kutafuta hapa bongo nadhani zitakuwa zimeshaingia.
Bei ya kibongo bongo itakuwa kati ya 250-350K
Bado tuu hujarudi home mkuu?
 
Unajiandaa kwenda chuo first year eeh...

Teh,teh,teeee! Kwi,kwiiiiiii! Kuna hostel moja huku maeneo ya St. Agustine Mwanza, ukifika hapa kuanzia saa 12 jioni ni hatari tupu!
 
bado tuu hujarudi home mkuu?
kamanda wajua mtoto wa kike katimka na simu ya ukweli so nimeshindwa pata picha muzuri wacha niweke hizi mbofu mbofu kama zitasomeka kwa mtoa mada

IMG0012A.jpg


IMG0009A.jpg


IMG0013A.jpg



IMG0016A.jpg



IMG0015A.jpg
 
Sabufa<sub woofer> nzuri ambayo ukifungulia lazima majirani waende kwa mjumbe ni Sony PMPO 30,000WATTS

Heh heh au hiyo sabufa ndio anatumia jirani yangu dereva wa bajaj,akiweka ile taarabu ya Simba wimbo ulioimbwa na Msagasumu inakuwa kama kuna harusi za uswazi,na ukimsema kidogo tu basi utasikia kaweka Mashauzi''tugawane ustaarabu''
 
Kuna Lg HX906PAN hii kitu ni nzuri
Inakua na speaker 5 deck yake inachukua all type 3D and blue lays- ni smart tv pia Ina HMDI 2 bila kusahau AUX na USB unaweza sikilizia muziki kwa iPhone/iPod kuna dock pia Ina kua na raha zaidi Kama utakua na WiFi,, Ina sauti nzuri Sana

hometheater itabaki kuwa home theater hata kama ina atachment ya sub. ukweli ni kwamba home theater hazina bass ya ukweli kama subs zilivyo tatizo la hizi hmthtr ukuaji wa bass yake unategemea jindubunavyoongeza sauti, nyingi amplifier yake haujagawanywa kama ilivyo subs, yaaani hazina utifauti saaana na redio ya kawaida inayotumia ST ktk amplifier ambazo speaker zake zinakuwa ni za bass reflex au accoustic.
ila sub amplifier yake imegawanywa upande wa low frequencies unajitegemea na upande wa high frequency unajitegemea kwa lugha nyingine ni bi amplified na hizi ni kwa zile ambazo zina satelites/ mid spekers,ila kuna subs ambazo ni mono amplifier zinakuwa na low freq tu yaani zinatoa bass tu, mfano bic america f12, polk audio pro dsw 1000 etc. more questions ask.
 
Mimi nili nunua Geepas Manual Sub-woofer Kule Algeria ni ya ukweli kaka kitu kinapika Masantula ya kufa mtu Mwaka wa 5 huu .
Bahati mbaya sana sina picture yake hapa ila inafanana kidogo na hii ila yenyewe fupi na nene alafu ina miguu kwa chini, nikirudi home nitachukua screen kwa simu nikuwekee ujaribu kutafuta hapa bongo nadhani zitakuwa zimeshaingia.
Bei ya kibongo bongo itakuwa kati ya 250-350K
View attachment 99208

unajua rising,sean piano, kodjetec,na aina nyingine za sub za kichina zinatumia platfom chip za amplifier za aina moja ila wanaongeza vitu vichache na mwonekano tu,wanachofanya ni kuja kufanya assemb, na kuzibrand majina tofauti tu. hii ni tofauti na geepers yeye anadesine mwenyewe na kuasembo,hata sub cabinet yake ni closed air mode wakati za mchina ni open air mode, na kiutaalam closed mode ni nzuri kwa room kwa sababu zinakuwa na deep bass.
 
hala hala usikutane na ya kichina usije leta majanga ya kuunguza nyumba
 
Babu kizee nikutakie masomo mema huko uendako chuo cha nyuki tabora.Nunua SABUFA hata ya mchina utatisha
 
Back
Top Bottom