dr samg
JF-Expert Member
- Jul 22, 2012
- 292
- 159
Kuna aina nyingi za sabufa zimeingia tz aina ipi ni bora na inadumu wakuu.
tafuta Sayona yenye PMPO 10,000 kwenda juu ina mziki poa haikoromi nshatia miezi 3 nmeipenda
Kuna aina nyingi za sabufa zimeingia tz aina ipi ni bora na inadumu wakuu.
tafuta Sayona yenye PMPO 10,000 kwenda juu ina mziki poa haikoromi nshatia miezi 3 nmeipenda
kAMA UPO DAR NENDA SUNRAY COMPUTER BARABARA YA UHURU UTAZIKUTA HUKO BEI MTAELEWANA MAANA SIKUHIZI UKIWA MJANJA MJANJA UNAPATA MZIGO KWA BEI ILIYOTULIA ILE YA JUMLA KINYUME CHAKE WANAKUTWANGA NYUNDOhiyo ya juu ua ukweli sana, sh ngapi kama hiyo
Sabufa ndo kitu gani tena?Kuna aina nyingi za sabufa zimeingia tz aina ipi ni bora na inadumu wakuu.
Sabufa ndo kitu gani tena?
Kama huna jibu nyamaza watajibu wengine!Shirt=shati shilling=shilingi jiulize kwanza kabla ya kuuliza sabufa ndo kitu gani.
zinapatikana sehemu gani kwa hapa dar? naogopa kuibuka na mchina mkuu
zinapatikana sehemu gani kwa hapa dar? naogopa kuibuka na mchina mkuu
Shiling ngap
Kama huna jibu nyamaza watajibu wengine!
Comment nyingine ni za kuanzisha mijadala isiyo na msingi, mtu kama amekosea kuandika lakini komenti za wachangiaji zinaeleweka zinazungumzia nini hata ahiitaji phd kuelewa