Aina ipi ya sabufa ni nzuri

IMG_1480171634.707937.jpg

Chukua hyo sonny
 
Kama ni matumizi ya nyumbani chukua AILiANG AL9600(USBFM9600A) 5.1 CH au chukua aina hiyo hiyo class B au C ndugu utafurahia mdundo wake bei ya zamani 450,000 kama ni Class C speaker 4 fupi inch kama 40 hivi kama sijakosea na kama ni Class B bei ni juu kidogo lakini haipishani sana na Class A kwakua Class A ndio inauzwa bei juu kama kilo 7 na kuendelea kwa bei ya mwaka 2013 sasa kwa bei ya 2016 ndio sijui labda uingie kwenye mtandao ucheki na itakubidi uagize nje ya nchi kama utazikosa kariakoo Dar au Mkoani mbeya endapo utaona inafaa
9e91652530d3e41113eabc6edb9b549f.jpg
a26713125af56655980cde45d9b53243.jpg
b990a7d831b648f25025c230de92c4f4.jpg
 
Kama ni matumizi ya nyumbani chukua AILiANG AL9600(USBFM9600A) 5.1 CH au chukua aina hiyo hiyo class B au C ndugu utafurahia mdundo wake bei ya zamani 450,000 kama ni Class C speaker 4 fupi inch kama 40 hivi kama sijakosea na kama ni Class B bei ni juu kidogo lakini haipishani sana na Class A kwakua Class A ndio inauzwa bei juu kama kilo 7 na kuendelea kwa bei ya mwaka 2013 sasa kwa bei ya 2016 ndio sijui labda uingie kwenye mtandao ucheki na itakubidi uagize nje ya nchi kama utazikosa kariakoo Dar au Mkoani mbeya endapo utaona inafaa
9e91652530d3e41113eabc6edb9b549f.jpg
a26713125af56655980cde45d9b53243.jpg
b990a7d831b648f25025c230de92c4f4.jpg
Chukua hii mtoa post at least utapa sound iliyonyooka walau
 
Back
Top Bottom