Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 609
- 1,007
Wadau nimetembelea mtandao wa Ali Express kuna simu mbalimbali nimeziona kule na kwa bei nzuri simu kama qukutel n.k.
Je, nikiagiza haziwezi kuja kuleta shida bongo au tayari jamaaa washaiweka katika access ya nchi zote duniani?
Wajuvi nawaomba hapa kwa msaada zaidi
Je, nikiagiza haziwezi kuja kuleta shida bongo au tayari jamaaa washaiweka katika access ya nchi zote duniani?
Wajuvi nawaomba hapa kwa msaada zaidi