kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Mwenzio unaweza kuta katoa laki tano kwenye kununua hiyo simu, unavyomuambia maswala ya radio ndo unazidi kumchoma moyo.mkuu radio je
Mwenzio unaweza kuta katoa laki tano kwenye kununua hiyo simu, unavyomuambia maswala ya radio ndo unazidi kumchoma moyo.mkuu radio je
sikubeba kaka,nilizingatia ushaur wa wadauMkuu tunaomba mrejesho
Ungeingia chaka.sikubeba kaka,nilizingatia ushaur wa wadau
Kaamua kutuchekeshakukuteli yaani
Hii kaka lazima niagize mana siwez nikaiacha 10000mah mana uwezo wa betr nying unacheza 5000 to 4000 lkn hao jamaa ni shida
ok ok,shukran kaka mana ni hao haoPale nimeona kama Imeandikwa Doogee kama ni hao simu zao Mostly ni rugged phone na ni nzuri kama unataka simu ya kazi haujali mbwembwe za muonekano nn inafaa
Hebu tuione na specifications ZakeMimi nilinunua umidig a5 pro toka mwaka juzi naitumia vizuri tu. Cha msingi angalia reviews za watu na bands Kama zinaendana na mitandao ya huku
vip tupe uzoefu wa matumiz yake kwa ujumlaMimi nilinunua umidig a5 pro toka mwaka juzi naitumia vizuri tu. Cha msingi angalia reviews za watu na bands Kama zinaendana na mitandao ya huku
noma snkakutel kama kakutel...wachina wametisha....