tonicJr
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 468
- 481
Upo sawa Mkuu maana saivi kila Mtu inabidi awe na Chimbo lake...kwetu Hapaeleweki😀 mkuu akupe location alaf iweje? Ukitokea msako jamaa ndio kimbilio lake huko maporini ha ha haaa.....



Upo sawa Mkuu maana saivi kila Mtu inabidi awe na Chimbo lake...kwetu Hapaeleweki😀 mkuu akupe location alaf iweje? Ukitokea msako jamaa ndio kimbilio lake huko maporini ha ha haaa.....



Upo sawa Mkuu maana saivi kila Mtu inabidi awe na Chimbo lake...kwetu Hapaeleweki![]()
vingine ni adhabusi kila king'aacho ni dhahabu.
Swila sumu yake ni mate yake anauwezo wa kurusha mate mita tano mate yake yanawasha sana na ngozi kuvimba haraka, ila kama umepata watalaamu wa miti shamba kunamajani mtu akitafuna alafu nae akakupulizia mate ya ile dawa unakuwa safi kabisa,yaani unapona kabisa.Swila yupoje?
Hao lazima tutakuwa nao,Tumebarikiwa Tanzanite sembuse hao nyoka
Mimi sijakubishia nimechallenge ulichokiandika kisha nikakuonesha ambacho studies zinaonesha kua kinadetermine ukali wa sumu ya nyoka...Hatubishani fanya Utafiti juu ya hicho nilichokiandika....
Sumu yake ni mate anauwezo wa kurusha mate mita tano na ngozi yako kuvimba haraka, ila kuna dawa za asili majani flani mtu akitafuna alafu ukapuliziwa mahali alipokurushia mate yake unapona haraka. Sema kwa kizazi hiki sijui kama wanaweza ijua hiyo dawa.Swila yupoje?
Kumbe wanapenda sehemu ya maji majiMkoani morogoro maeneo ya wilaya ya ulanga ,mahenge/ilonga au mbuga waweza waona kule kuna mabwawa makubwa na mito inayotokea kwenye hifadhi ya seras game reserve pia maeneo ya Ifakara kwenye mabwawa ya kitope na makutano ya MTO rumemo na kilombero
Ukumuona uyo kweliBinafsi nimewahi kuona nyoka miaka ya 1996 kwenye milima ya kirumba Mwanza alikuwa amekaa juu ya mwamba Mkubwa anaota jua...rangi zake zilikuwa nyekundu, njano na blueblack kwa mbaaali...kichwani alikuwa mix ya red na pure njano....nilishikwa na butwaa la ajabu sana sababu nilikuwa sijawahi kuona nyoka wa aina ile kwa alikuwa anameremeta style flani hivi...kwa ujinga ule nikataka kumsogelea nimuone kwa karibu alikopotelea hata sikumbuki
Ngozi zao ndo nazitaka mkuu
Iv kumbe nikikitwa na Ngozi ya nyoka nakesi ya kujibu
Wewe bwege google ni bure,andika cobra in swahili halafu njoo na jibu.swila ndiyo cobra .na wala sijasema nyoka wengine hawatemi mate,ila cobra huvimbisha shingo akitema mate
kama me bwege we ni bwegenho a.k.a Bwegest