Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

Hao nyoka wenye vichwa vyekundu huwa wanawika kama jogoo
 
Mkoani morogoro maeneo ya wilaya ya ulanga ,mahenge/ilonga au mbuga waweza waona kule kuna mabwawa makubwa na mito inayotokea kwenye hifadhi ya seras game reserve pia maeneo ya Ifakara kwenye mabwawa ya kitope na makutano ya MTO rumemo na kilombero
 
Mbona chatu ana kichwa kama geneza ila hana sumu mkuu?
hapo wataalamu wa mambo ya snake venom huwa wanahesabu ile miramba ambayo IPO juu ya kichwa kwafano miramba nane juu ya kichwa nyoka huyo ni hatari kwa maisha yako napia huwa wanaangalia morphology ya tumbo lake
 
Binafsi nimewahi kuona nyoka miaka ya 1996 kwenye milima ya kirumba Mwanza alikuwa amekaa juu ya mwamba Mkubwa anaota jua...rangi zake zilikuwa nyekundu, njano na blueblack kwa mbaaali...kichwani alikuwa mix ya red na pure njano....nilishikwa na butwaa la ajabu sana sababu nilikuwa sijawahi kuona nyoka wa aina ile kwa alikuwa anameremeta style flani hivi...kwa ujinga ule nikataka kumsogelea nimuone kwa karibu alikopotelea hata sikumbuki
 
Red headed-krait wanapatikana tu baadhi ya sehemu za Marekani na wana sumu kali sana
huyo mweupe ana hali ya hitilafu kwenye ngozi yake (piebaldism) ambayo imepelekea kuwa na muonekano mzuri
Blessing in disguise
 
Back
Top Bottom