BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Nadhani unachanganya na black mamba (koboko), Cobra sumu yake si kali sana na wengi wamepona ila huyo black mamba kupona ni vigumu ila inawezekana .
Yeah absolutely... Black mamba is very dangerous kaka...jaribu kufuatilia SNAKE HANDLERS wanavyopata tabu kuwakamata, huyu snake anatisha...
Cobra nae ni balaa, lakini kwa Black Mamba nijuavyo ni very bad snake...usiombe ukutane nae...