Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

Kwa ujumla Tz imebarikiwa karibu kila aina ya viumbe wapo, hawa nyoka ni balaa sema Mungu tu ndiyo huwa anatulinda basi.
 
Nadhani unachanganya na black mamba (koboko), Cobra sumu yake si kali sana na wengi wamepona ila huyo black mamba kupona ni vigumu ila inawezekana .

Black mamba huwezi kupona
 
Nadhani unachanganya na black mamba (koboko), Cobra sumu yake si kali sana na wengi wamepona ila huyo black mamba kupona ni vigumu ila inawezekana .

Swila yupoje?
 
QUOTE="topr, post: 18905378, member: 200148"]Wanafanana na USO wako[/QUOTE]
Ni kweli kabisa!
 
Back
Top Bottom