Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

Yule mweupe wa chini yupo nchi hii kuna watu wanamtumia kwenye ngoma za jadi. Ni nyoka mwenye sumu kali ila meno yake yanachukua muda mrefu sana kuota na kumwezesha kuuma, hivyo ni rahisi sana kumfuga.
Chakula chake kikuu ni wale vyura mwololo wa kwenye visima, panya na unga.
 
Yap japo imezoeleka nyoka ni viumbe wabaya ila kuna nyoka wameumbwa kwa namna ya kupendeza sana na baadi hawana sumu kabisa
Hamna kiumbe yeyote wa MAULANA ambaye ni mbaya. ....ndiyo maana MWENYE ENZI MUNGU kila akimaliza uumbaji wake anatamka NI VYEMA. Ni sisi wenyewe lazima tutamke mambo mema kwenye maisha yetu. ..hapo TUTAKULA MEMA YA UNIVERSE. ..nakutakia siku njema
 
Huyo hatari..hivi punde kamng´ata mtafiti wa zika,yupo hoi
Hilo joka ni hatari tena joka kuu apendagi michezo na binadamu ukimchezea tu anakudhuru ata krismasi na mwaka mpya utaiona chungu kwako
 
Binafsi nimewahi kuona nyoka miaka ya 1996 kwenye milima ya kirumba Mwanza alikuwa amekaa juu ya mwamba Mkubwa anaota jua...rangi zake zilikuwa nyekundu, njano na blueblack kwa mbaaali...kichwani alikuwa mix ya red na pure njano....nilishikwa na butwaa la ajabu sana sababu nilikuwa sijawahi kuona nyoka wa aina ile kwa alikuwa anameremeta style flani hivi...kwa ujinga ule nikataka kumsogelea nimuone kwa karibu alikopotelea hata sikumbuki
Usingemsogelea ukuwa na smart phone ? Ungempiga picha utarii huo .siku nyingine ukiona jambo la ajabu kwako piga picha kwa akiba alafu chunguza
 
Nyoka yeyote mwenye kichwa mfano wa jeneza na kiwe kama hakina mabondebonde ana sumu hatari sana
au kwa namna nyingine kuwa nyoka wenye macho yenye umbo kama karanga ni nyoka wenye sumu kali
tofauti na wale wenye macho ya duara (kama sarafu) hawa huwa hawana sumu mfano ni chatu
 
wako kwenye family moja iitwayo ELAPIDAE ni common sana sehemu zenye maji.
 
Nadhani mmoja ni cobra ambaye akimdunga mtu anakufa ndani ya masaa machache. Mwingine ni aina ya kifutu (puff adder) ambaye naye sumy yake ni mbaya sana. Huyo akikuuma nyama mwilini zinaoza mpaka unakufa

Mkuu umemsahau BLACK MAMBA!!! Navyojua Huyu ndiye nyoka hatari duniani' na usiombe ukutanenae kaka....
image.jpg

The black mamba (Dendroaspis polylepis) is avenomous snake endemic to parts of sub-Saharan Africa. Specimens vary in color from grey to dark brown, but not black. Juvenile black mambas tend to be lighter in color than adults and darken with age. It is the longest species of venomous snake indigenous to theAfrican continent; mature specimens generally exceed 2 meters (6.6 ft) and commonly attain 3 meters (9.8 ft). Specimens of 4.3 to 4.5 meters (14.1 to 14.8 ft) have been reported.

Although most mamba species are tree-dwelling snakes, the black mamba is not generally arboreal, preferring lairs in terrestrialhabitats in a range of terrains. These includesavannah, woodlands, rocky slopes and in some regions dense forest. It is diurnal and chiefly an ambush predator, known to prey onhyrax, bushbabies and other small mammals as well as birds. It is also a pursuit predator; in this it resembles some other long, speedy, highly-venomous species with well-developed vision. Over suitable surfaces it is possibly the speediest species of snake, capable of at least 11 km/h (6.8 mph) over short distances. Adult mambas have few natural predators.

In a threat display, the mamba usually opens its inky black mouth, spreads its narrow neck-flap and sometimes hisses. It is capable of striking at considerable range and occasionally may deliver a series of bites in rapid succession. Its venom is primarily composed of potent neurotoxins which may cause fast onset of symptoms. Despite its reputation for being formidable and highly aggressive, like most snakes, it usually attempts to flee from humans unless threatened or cornered. Not being proximal to humans, bites from the black mamba are not frequent.


The black mamba is popularly regarded as the most dangerous and feared snake inAfrica;[43] to South African locals the black mamba's bite is known as the "kiss of death".[56] However, attacks on humans by black mambas are rare, as they usually try to avoid confrontation, and their occurrence in highly populated areas is not very common compared with some other species.[57]Additionally, the ocellated carpet viper is responsible for more human fatalities due tosnakebite than all other African species combined.[47] A survey of snakebites in South Africa from 1957 to 1963 recorded over 900 venomous snakebites, but only seven of these were confirmed black mamba bites, at a time when effective antivenom was not widely available. Out of more than 900 bites, only 21 ended in fatalities, including all seven black mamba bites.[58]

Reported bite cases
Danie Pienaar, now head of South African National Parks Scientific Services,[59] survived the bite of a black mamba without antivenom in 1998. Although no antivenom was administered, Pienaar was in serious condition, despite the fact the hospital physicians declared it a "moderate" black mamba envenomation. At one point, Pienaar lapsed into a coma and his prognosis was declared "poor". Upon arrival at hospital Pienaar was immediately intubated, given supportive drug therapy, put on mechanical ventilation and was placed on life support for three days, until the toxins were flushed out of his system. He was released from hospital on the fifth day. Pienaar believes he survived for a number of reasons. In an article in Kruger Park Times he said: "Firstly, it was not my time to go." The article went on to state, "The fact that he stayed calm and moved slowly definitely helped. The tourniquet was also essential."[60]

In another case, 28-year-old British student Nathan Layton was bitten by a black mamba and died of a heart attack in less than an hour in March 2008. The black mamba had been found near a classroom at the Southern African Wildlife College in Hoedspruit, where Layton was training to be a safari guide. Layton was bitten by the snake on his index finger while it was being put into a jar, but he didn't realize he'd been bitten. He thought the snake had only brushed his hand. Approximately 30 minutes after being bitten Layton complained of blurred vision. He collapsed and died of a heart attack, nearly an hour after being bitten. Attempts to revive him failed, and he was pronounced dead at the scene.[61][62]

In a rare case of survival without treatment, American professional photographer Mark Laita was bitten on the leg by a black mamba during a photo-shoot of a black mamba at a facility in Central America. The bite ruptured an artery in his calf, and he was gushing blood profusely. Laita did not go to the doctor or the hospital, and except for the swollen fang marks giving him intense pain during the night, he was not affected and was fine physically. This led him to believe that the snake either gave him a "dry bite" (meaning without injecting venom) or that the heavy bleeding pushed the venom out. Some commenters to the story suggested that it was a venomoid snake (in which the venom glands are surgically removed). Laita responded that it was not the case. Only later, Laita found that he had captured the snake biting his leg in a photograph.[63][64][65]


 
Back
Top Bottom