Aina hii ya nyoka wapo Tanzania?

Kariakooooo Ipi iyo ?


Hii hii KARIAKOO uijuayo! Ya [HASHTAG]#mujini[/HASHTAG]! Salidalama chief, wamejaa tele! Mtaa Wa aggrey/msimbazi! Kuja ujionee manyoka ya mwendokasi! Unalipia 2000 tu kwa Dk 15 kuwaangalia
 

Attachments

  • images-35.jpeg
    images-35.jpeg
    7.8 KB · Views: 34
  • 2016-11-26-11-19-32--820475166.jpeg
    2016-11-26-11-19-32--820475166.jpeg
    9.2 KB · Views: 37
  • 2016-11-26-11-19-32--820475166.jpeg
    2016-11-26-11-19-32--820475166.jpeg
    9.2 KB · Views: 25
  • 2016-11-26-11-19-32--820475166.jpeg
    2016-11-26-11-19-32--820475166.jpeg
    9.2 KB · Views: 28
Rangi ya nyoka haikufanyi umtambue kwamba anasumu au la.Kati ya hao niliyeweza kumtambua ni hy mweupe anaitwa Garbon viper.Anasumu kali na kidonda chake hauponi.
 
Back
Top Bottom