Aina 8 za wanawake hatari

Aina 8 za wanawake hatari

AL MAJINUN- huyu upenda maisha ya juu sana hata kama anaishi Mbagala Kwa Nyoka, atataka aonekane kama wa Masaki. Mwanamke wa aina hii pia huwa hatosheki tendo la ndoa haraka, ukimuoa lazima uwe Shabaabi vinginevyo utaikimbia nyumba.
 
Wangu ni namba 1 kosa kidogo talaka ukimuliza kitu nataka talaka
 
Back
Top Bottom