Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
Miss you too mcharuko wangu[emoji8]Miss you[emoji8]
Miss you too mcharuko wangu[emoji8]Miss you[emoji8]
Waarabu wa pemba......[emoji1]Miss you[emoji8]
Miss you too mcharuko wangu[emoji8]
My wii wewe[emoji85]Waarabu wa pemba......[emoji1]
Chukua jembe ukalime[emoji3] [emoji3]Waarabu wa pemba......[emoji1]
My wii wewe[emoji85]
Na majaruba yetu yameotea huko kayenze kwetu ngoja kweli nikalimeChukua jembe ukalime[emoji3] [emoji3]
Usiingilie mapenzi ya wapendanao leo ndio nimeaminiMy wii wewe[emoji85]
Naomba kuchart na wewe Miss Natafuta.Mungu shahidi sipo whatsup wala sijaandika sms yoyote kuchat ni mejibu pm tatu humu basi na kucomment jf .
kama kuna mtu nachat nae humu aseme
Lakini kwa nini hata uyaingilie?Usiingilie mapenzi ya wapendanao leo ndio nimeamini
[emoji180]Kama kupendana....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] picha za uchoraji wanja [emoji119]Eeeh hivo hivo unapika huku umechora ule wanja wa "sina mume" au "hawara mshenzi"
Tatizo pilipili kichaa zinamuharibu huyu... Akila tu anacharuka[emoji85]Usiingilie mapenzi ya wapendanao leo ndio nimeamini
Nisameheni bure sitaingilia tenaLakini kwa nini hata uyaingilie?
Si uwaache tu wenyewe watajuana mbele kwa mbele....au nakosea?
[emoji323] [emoji323] [emoji323]
Usinigombanishe na Nyani wako pleaseTatizo pilipili kichaa zinamuharibu huyu... Akila tu anacharuka[emoji85]
Mbona unaongea kihuruma hivyo my wii[emoji17]Nisameheni bure sitaingilia tena
This I promise you wapendwa wangu...[emoji124]