MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 9,656
- 13,844
Maridhiano ya kuunganisha nchi zetu mbili yalikubaliwa enzi na waasisi wa mataifa yetu walikuwa kama wawakilishi wetu katika kutuunganisha kisheria.
Tangu wakati huo wote, sidhani kama kulikuwa na haja ya mtendaji yeyote wa serikali kuchimba chimba au kuuchokonoa muungano wetu tena kwa kuangalia hati ya muungano.
Sasa ulitaka mwanasheria wa Zanzibar aone hati ili iweje? Au ulitaka hati hiyo iwepo Zanzibar ili iweje? Cha msingi maridhiano ya nchi zetu tu, makaratasi ya muungano hayana maana yoyote kwetu.
Wewe ni Zero Brain kabisa.