Aibu ya mwaka yampata Lissu!

Aibu ya mwaka yampata Lissu!

Maridhiano ya kuunganisha nchi zetu mbili yalikubaliwa enzi na waasisi wa mataifa yetu walikuwa kama wawakilishi wetu katika kutuunganisha kisheria.

Tangu wakati huo wote, sidhani kama kulikuwa na haja ya mtendaji yeyote wa serikali kuchimba chimba au kuuchokonoa muungano wetu tena kwa kuangalia hati ya muungano.

Sasa ulitaka mwanasheria wa Zanzibar aone hati ili iweje? Au ulitaka hati hiyo iwepo Zanzibar ili iweje? Cha msingi maridhiano ya nchi zetu tu, makaratasi ya muungano hayana maana yoyote kwetu.

Wewe ni Zero Brain kabisa.
 
Maswali yalikuwa matatu
1. Je hati hiyo ipo?
2. Je hati hiyo ni halali? (hili ndio swali gumu kabisa. uhalali ni pamoja na waliosaini kuwa na mamlaka ya kufanya hivyo)
3. Je muungano ni halali.
nyie kalieni mjadala wa hati wakati mjadala ushaanza na jamaa wa serikali mbili wameshaelekea kuwazidi kwa hoja tangu mjadala umeanza jana.
 
Maridhiano ya kuunganisha nchi zetu mbili yalikubaliwa enzi na waasisi wa mataifa yetu walikuwa kama wawakilishi wetu katika kutuunganisha kisheria.

Tangu wakati huo wote, sidhani kama kulikuwa na haja ya mtendaji yeyote wa serikali kuchimba chimba au kuuchokonoa muungano wetu tena kwa kuangalia hati ya muungano.

Sasa ulitaka mwanasheria wa Zanzibar aone hati ili iweje? Au ulitaka hati hiyo iwepo Zanzibar ili iweje? Cha msingi maridhiano ya nchi zetu tu, makaratasi ya muungano hayana maana yoyote kwetu.

Na wewe ulivyo na akili ndogo kiasi hicho na wenyewe waliposema kuwa wataiweka makumbusho ili kila mwananchi aione wanamaana gani?na kwann hawakuweka tangu awali wanasubiria mpaka lisu awachokonoe ndo waionyeshe, hilo ni swali la msingi sana kujiuliza na sio kutuletea hapa vihoja visivyonamsingi najua umetumwa na ccm..!!just first think big kijana kabla hujawasilisha chochote hapa
 
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.

Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.

Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.


Kweli jambo usililolijua ni sawa na usiku wa giza! Tuache ushabiki hasa kwa tusiyo yajua mwisho ni aibu. Wewe unaweza kujilinganisha na Tundu Lissu? Kwa lipi? Lissu alimwaga anayoyajua, nawe tupe yako tukusikie. Vinginevyo kaa kimya utaheshimika.
 
Hata hivyo kama ikulu ingekuwa makini, isingesubiri hadi maswali yame mengi kiasi hiki, inaonekana kabisa kuna utata fulani kuhusu hiyo hati. Sijawahi kuwa na wasi wasi kuhusu hilo, lakini sasa nina wasi wasi

Kama ni kweli hiyo ndio hati halisi nimeipenda sentensi moja tu kwenye saini .......of Republic of Tanganyika.... Wajumbe tafadhali nirudishieni nchi yangu mimi mwananchi wa kawaida
 
Lissu hawezi ingia mitini. Alichokifanya ni kutafuta njia ya kumtoa nyoka pangoni ili ampige rungu la kichwa. Kumbuka wajumbe wengi wa CCM walikuwa wanazungumzia misingi ya kuanzishwa muungano ilindwe kulingana na makubaliano ya awali ya waasisi wake. Sasa ndio ( kama hati hiyo ni halali) tutakapo ona kuwa muungano huu uliopo sasa ambao serikali ya Zanzibar imeshajitenga kuwa sio misingi ile ya awali kwa hiyo yale aliyosema Warioba ndiyo yanayopaswa kufanywa sasa katika kuunda katiba mpya.
Nakuhakikishia usione Lissu na wenzie wanacheka ukadhani ni machizi, wameshajua wapi pa kuwapiga bao. Maana sidhani kama hayo yaliyofanyika siku za karibuni yako kwenye hati ya makubaliano ya awali. Tatizo la wale wanaofata msimamo wa Chama na kutukana na kuzomea wanaiga style ya kasuku tuu.


Sent from my iPad using JamiiForums

Mzee nimeiona hii pia na mimi. ila sina rejea kusema kitatokea nini. il hii ngoma kama wakiweza kuthibitisha kisheria kuwa KAtiba ilikuwa batili au hata nyerere hakuwa na haki kisheria kuamuru Tanganyka iwe Tanzania. Basi inamaa tuanze upya baada ya kuridisha Tanganyika alafu tuanze kujipanga upya. kweli Tundu lisu aliona mbali
 
Machadema yameishiwa hoja yamebaki kuungaunga na kushikia bango vitu vya kipuuzi
 
Lissu hajaumbuka maccm ndiyo yanaumbuka maana yaliyofichwa miaka 50 salsa adhalani .watuonyeshe kwenye muungano kama Zanzibar ni nchi; na Tanganyika ilienda wapi?
 
Na wewe ulivyo na akili ndogo kiasi hicho na wenyewe waliposema kuwa wataiweka makumbusho ili kila mwananchi aione wanamaana gani?na kwann hawakuweka tangu awali wanasubiria mpaka lisu awachokonoe ndo waionyeshe, hilo ni swali la msingi sana kujiuliza na sio kutuletea hapa vihoja visivyonamsingi najua umetumwa na ccm..!!just first think big kijana kabla hujawasilisha chochote hapa
kwanini hawakuiweka kabla?..

Kwasababu hawakuiweka kabla ila sasa wameiweka.
 
Mniwie radhi kuaema chili. Tunacho bishana Sasa ni kama cheti cha ndoa kipo na kina uhalali kiasi gani......mimi joja yangu ni kwamba kama mwanandoa mmoja tayari amedhihirisha kutoitaka ndoa tena kinaga ubaga.... Hata kama cheti kipo na ni jalali atatafuta sababu nyingine...
Tujadili haya:
1. Tz bara itapungukiwa nini muungano ukivunjika?
2. Wanzibari watatimiza matarajio yao baada ya kujitenga?
3. Je watadumu au dhambi ya utengano itaendelea?
4. Magumu yakitokea Nara Italia Salama kiasi gani?

Nadhani tuanzie hapa kuliko kujadili Lisu kasemaje. After all ni Kazi take kusema. Na yakusema hayaji tu, sharti yatafutwe.
 
Lissu hajaumbuka maccm ndiyo yanaumbuka maana yaliyofichwa miaka 50 salsa adhalani .watuonyeshe kwenye muungano kama Zanzibar ni nchi; na Tanganyika ilienda wapi?
soma article za mwanzo zinaeleza wazi kuwa katiba ya tanganyika ndo itatumika kama ya muungano,kisha zanzibar itakua na katiba yake kwa ajili ya wananchi wa zanzibar ambayo itakuwa na serikali yenye mamlaka kamili ndani ya zanzibar.

Article za makubalino zimetaja wazi uwepo wa serikali ya zanzibar katika muungano na haijataja uwepo wa serikali ya Tanganyika tena.
Kwamaana serikali ya Tanganyika imo ndani ya serikali ya Tanzania.
 
Serikali ya tz haiwezi kuyumbishwa na wehu akina lissu na genge la wahuni wenzake
 
Hivi hi Tanganyika ambayo watu wanaidai irudi nani anaweza kutuambia uhalali wake, makubaliano ya kuifanya inchi hii itwe Tanganyika yalifanyika wapi na nani walikuwa washiriki wake? je wananchi walihusishwa katika mchakato wa kupata jina Tanganyika? kwa Zanzibar labda kwa sababu yenyewe imepata uhuru wake kwa mapinduzi lakini hi Tanganyika nani anaweza kutusaidia mkataba wa kuifanya inchi iitwe Tanganyika ulifanyika wapi?

Watu mnajitahidi kutumia nguvu nyingi ili tu kuhalalisha muungano-fake!
 
Hivi ni nani amekwambia kuna mwana CCM alikuwa anataka kuona hati ya muungano!!!?

Binafsi sina haja ya hayo makaratasi ambayo yanaitwa hati.

Kubwa ambalo nipo interested nalo ni udugu, umoja, mshikamano na maridhiano yetu kama Watanzania. Hili ndio la muhimu na la msingi.

Aisee inaonekna na kazi uliyo nayo umeipata bila karatasi. ndio maana uoni umuimu wa karatasi. ila jitayarishe kurudi shule maana miaka ya kubebwa na CCM ndio inaishia.
 
Lisu ananikumbusha enzi zile akiendesha NGO yake ya msaada wa kisheria, akiwatetea wachimbaji wadogo wa dhahabu. Alikuja na madai mgodi wa Bulyankulu umefukia wachimbaji wadogo ktk mashimo, Taifa likashinikizwa kuyafukuwa kupata ushahidi hakupatikana mtu. Lisu akisaidiwa na wafadhiri wake bado akasisitiza walifukiwa, akaambiwa tuletee ndugu za wafiwa watoe ushahidi, akakwama ukawa ndio mwisho wa NGO akajiunga CHADEMA. Kwa tabia yaka hati hii kuonyesha bado atakuja na jingine 'haikuhalalishwa' na Wazanzibari! Kuna hotuba ya Karume akihutubia Kibandamaiti akiwhoji wananchi wanakubali kuungana na Tanganyika? itapelekwa bungeni bado Lisu atakuja na jingine!
 
Hili bandiko huenda likawa na muda mfupi sana kuendelea kuwepo hapa.
 
Back
Top Bottom