Kamfungulieni lissu mashitakaBaada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.
Ile saini haiwezi kuwa ya Amri Abeid Karume, ila kuna mtu kasaini kwa niaba yake. Niliwahi kusoma mahali kuwa Karume 'hakusoma; lkn ile saini iloyopo kwenye hati iliyoonyeshwa na Balozi Sefue inaonekana ni ya msomi wa hali ya juu kuliko hata Nyerere wakati ule.
Ile hati itazidisha utata zaidi badala ya kuundoa kwa maswali yafuatayo(
1. Kwa nini walikuwa wanadao mara iko UN?
2. Kwa nini awali waliwapa wajumbe wa Kamati hati nyingine ambayo haifanani na hii aliyeionyesha Sefue leo? Je! Kuna hati ngapi za Muungano?
-------- huamini kila neno, lkn mwenye akili huhoji kila neno.
Ni vizuri kwa wewe uliyefika darasa la 14 ukanielimisha mimi ambaye sijafika darasa la 3 unaonaje?
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.
Siasa za majitaka!Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.
Hati ya Muungano inaonesha nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar. Lissu hapo ana point nzuri sana. Jee, Tanganyika iko wapi?
Hivi hi Tanganyika ambayo watu wanaidai irudi nani anaweza kutuambia uhalali wake, makubaliano ya kuifanya inchi hii itwe Tanganyika yalifanyika wapi na nani walikuwa washiriki wake? je wananchi walihusishwa katika mchakato wa kupata jina Tanganyika? kwa Zanzibar labda kwa sababu yenyewe imepata uhuru wake kwa mapinduzi lakini hi Tanganyika nani anaweza kutusaidia mkataba wa kuifanya inchi iitwe Tanganyika ulifanyika wapi?
Mimi bado Nina wasiwasi na inayodaiwa ni hati hilisi ya muungano kwani mwanzoni walisema kuwa hati hiyo haipo na kuwa hati hiyo iko UN. kwa shinikizo Na bila haya baada ya kukabwa koo ndipo imeamua kuacha mazingaombwe yake. oneni aibu nyie watu
ngoma ipi hiyo? Lissu ameonyesha uzalendo wake mkubwa kwa tanganyika yetu na zanzibar pia!Lissu anataka kucheza ngoma asoijua na isomuhusu.
Wanafiki bwana huwa hawakosi neno. Mlitaka Hati ya Muunga imepatikana sasa mnazua mengine. Msipokuwa makini mtahoji hata mimba zenu kwa mama zenu kama zilikuwa halali. M.A.T.A.K.O Bar huwa ipo Arusha nadhani ndiyo sehemu mwaka kwenu kukaa
Sasa wewe unachekesha yaani unataka Tundu Lisu akuambie hati ni halali ndio ukubali? Sahihi ya Nyerere na Karume unazijua mpaka uhoji sio halali???
Hayo maswali atayajibu Lisu wakati akichangia hoja,labda aingie mitini