MNAMBOWA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,050
- 359
tumezubaishwa kiaina na serikali hii ya sisiemu
tumetekwa fikra zetu bila hata ya kujijua
tuko shimoni twazama pasipo kujigundua tutatokaje?
tumewekwa sehemu isiyohusika yaani matopeni bila kujijua
kwanini hawa sisisemu walificha hiyo HATI YA MUUNGANO
wanaipalilia kama kaaranga kikaangoni kwanini walitunyima
haki ya kuiona mapema eti wanasema wanaitunza kutunza gaini
je zile sahihi za nyerere/karume ni kweli original kama sio FEKI
TUMEZUGWA KIAINA WATANGANYIKA TUAMKE HAKUNA CHA HATI
ACHA KUWASEMA KINA LISSU KUWA NI WAONGO NA WANAFIKI
HAWANA UONGO WOWOTE ULE WANACHOSEMA WANAKIJUA
NA IPO SIKU UTAONA MATUNDA YAO USIWE MTU WA POROJO
ZAMA KWA KINA UJUE KUWA NCHI ISHABEMBENDWA
Hatutaki kuja kuona matunda wakati tunayo matunda muungano tunajitafunia tuu