Myanguneni
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,192
- 276
Iko wapi? au imepatwa na mwezi kama Sarungi alivyosema bungeni leo?
Hivi hi Tanganyika ambayo watu wanaidai irudi nani anaweza kutuambia uhalali wake, makubaliano ya kuifanya inchi hii itwe Tanganyika yalifanyika wapi na nani walikuwa washiriki wake? je wananchi walihusishwa katika mchakato wa kupata jina Tanganyika? kwa Zanzibar labda kwa sababu yenyewe imepata uhuru wake kwa mapinduzi lakini hi Tanganyika nani anaweza kutusaidia mkataba wa kuifanya inchi iitwe Tanganyika ulifanyika wapi?