Je wananchi waliridhia Pemba na Unguja ziungane ziwe Zanzibar?
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.
Hoja muhimu kuliko zote, hata kama hati ipo, je, lipo wapi azimio la baraza la mapinduzi kuidhinisha muungano? Kama halipo zanziba hawakuridhia muungano kihalali
Kama alihitaji hati ili ahoji Tanganyika iko wapi, basi nadhani upeo wake wa kufikiri ni mdogo!! Ina maana bado kuna mtu ambae hajui Tanganyika ilipo?
Iko wapi? au imepatwa na mwezi kama Sarungi alivyosema bungeni leo?
Hata hivyo kama ikulu ingekuwa makini, isingesubiri hadi maswali yame mengi kiasi hiki, inaonekana kabisa kuna utata fulani kuhusu hiyo hati. Sijawahi kuwa na wasi wasi kuhusu hilo, lakini sasa nina wasi wasi
Yani na akili zako zote hizo una m-quote mtu kama Sarungi!!!? Hapa umejitia aibu.
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.
Usipoweka hati hapa jamvini nitajua wewe ni mhuni, mwongo, mzandiki na kiongozi wa genge la wahuni.. Mpinge Lisu with evidenceBaada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.
Hata cheti unatembea na nakala basi sasa hata nakala ilikuwa hakuna miaka mingapi inadaiwa???.Wangetoa hata nakala basi,,huu uhuni wa kina wasira na kundi lake utafika mwisho ru, time will tell.Jamani ebu tuweni wa kweli hivi nani hapa ambaye ahifadhi documents zake mf vyeti vyake vya ngazi mbalimbali za elimu, hati za nyumba n.k, ? sasa hati kama zile ambazo ndio msingi wa uwepo wa taifa eti ziache tu hadharani, kila anayetaka apewe hi ni nchi ya wapi? ndio kusema wapinzani wakishika dola documents muhimu za Taifa hili zitakuwa rehani .
Sasa wewe unachekesha yaani unataka Tundu Lisu akuambie hati ni halali ndio ukubali? Sahihi ya Nyerere na Karume unazijua mpaka uhoji sio halali???
Lissu kidume Hati ambayo wasomi wa hali ya juu hata wapambe wa ccm kama Shivji walinyimwa kuiona Lissu kanguruma mara moja tuu serikali imegwaya.Kama siyo Lissu mimi na wewe tungeiona lini?
Baada ya upotoshaji mkubwa kufanywa bungeni na watu wasio itakia nchi yetu mema wakiwa wameongozwa na Tundu Lissu. Sasa watu hao wamepata aibu ya mwaka baada ya Ikulu kusambaratisha upotoshaji wao.
Tundu Lissu na genge lake la waongo wamekuwa wakipotosha bungeni kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo kisheria kisa hakuna hati ya muungano huo. Jambo ambalo limepingwa vikali na Ikulu tena kwa kutoa uthibitisho wa uwepo wa hati hiyo ya muungano.
Lissu na genge lake la wahuni watafute uongo mwingine, maana huu wa upotoshaji juu ya hati ya muungano hauna tena soko. Tuipe pongezi Ikulu kwa kukata mzizi wa fitina.